Democrasia
Member
- Feb 1, 2008
- 79
- 3
Jamani naomba msaada nina kampuni yangu na nilitakiwa kulipa VAT, Provisional Tax
Mimi likikuwa nimesafiri nikakuta kijana wangu amelipa vyote kwa paoja kwa kutumia cheki moja.
sasa naomba msaada wa yafuatayo:-J
*Kuna kosa lolote kisheria
*Je ukilipa VAT kwa commisioner of demestic revenue kuna kosa
*Na je unapochanganya mahala pamoja kuna kosa?
Mimi likikuwa nimesafiri nikakuta kijana wangu amelipa vyote kwa paoja kwa kutumia cheki moja.
sasa naomba msaada wa yafuatayo:-J
*Kuna kosa lolote kisheria
*Je ukilipa VAT kwa commisioner of demestic revenue kuna kosa
*Na je unapochanganya mahala pamoja kuna kosa?