al-baajun
JF-Expert Member
- Sep 11, 2015
- 278
- 203
Hamjambo wakuu?
Nataka kuenda Nairobi Kwa siku mbili, nahitaji kujua usafiri mzuri kutoka Dar, nauli na pale mpakani kinahitajika kitu Gani? Passport ninayo je, kuna kingine kinahitajika ili kuingia Kenya?
Je, maeneo Gani mazuri Nairobi ya kukaa Kwa budget ndogo, msaada?
Nataka kuenda Nairobi Kwa siku mbili, nahitaji kujua usafiri mzuri kutoka Dar, nauli na pale mpakani kinahitajika kitu Gani? Passport ninayo je, kuna kingine kinahitajika ili kuingia Kenya?
Je, maeneo Gani mazuri Nairobi ya kukaa Kwa budget ndogo, msaada?