Yeye anaruhusu kulifungua bello na kulichungulia? Maana wengine wanauza kama uchawi nilishawahi kuingia hasara kubwa. Zule nguo zilipangwa na unyevunyevu kumbr zilioza taratibu taratibu kuja kulifungua aisee zilinyambuka zote hata moja haikubakiMfollow mtu anaitwa mollentrends. Anaelekeza kilakitu. Na anauza mabelo pia. Ya kila aina. Sio kwa kubet.. kama unahitaji nguo za official zipo, blouse tupu yapo, suruali zenyewe yapo, unataka mchanganyiko pia unapata.
Na kama huna uwezo wa belo zima unaweza kuuziwa kwa jumla yani.