Msaada kuhusu hatua za kufungua biashara

wazanaki

JF-Expert Member
Mar 20, 2020
1,092
804
Wakuu nitaenda haraka kwenye point
Nilikua nahitaji kujua hatua za kufungua biashara ndogo tu ya ujasiriamali, nimepata kaeneo kando kando ya barabara. kuna mtu anaweza kunipa hatua zote za kufata mpaka kupata kubali?
Nilikua naomba kama mtu akieleza hatua basi aeleze in detail kidogo ili niweze kufanya hizo process.

Guidelines:
Je kuna ofisi yoyote ya mtaa au wilaya natakiwa niende? Na kama nikienda natakiwa niwe na vitu gani? Au kuna barua yoyote natakiwa niandike?
 
Unataka kujenga?Ni eneo la jiji,manispaa au kijiji?Ni aina gani ya biashara?

Njia rahisi ya kufahamu taratibu ni kutembelea afisa biashara wa eneo husika kisha umuulize maswali yako ila cha muhimu unatakiwa ujue ni kwamba,Kibongo bongo tunatumia mfumo wa snag detection.Yaani unaanza kisha unaweka MVP halafu hao wanaosimamia hizo taratibu wanakuja mwenyewe maana wamekaa ofisini hawana kazi ya kufanya

J
 
Unataka kujenga?Ni eneo la jiji,manispaa au kijiji?Ni aina gani ya biashara?

Njia rahisi ya kufahamu taratibu ni kutembelea afisa biashara wa eneo husika kisha umuulize maswali yako ila cha muhimu unatakiwa ujue ni kwamba,Kibongo bongo tunatumia mfumo wa snag detection.Yaani unaanza kisha unaweka MVP halafu hao wanaosimamia hizo taratibu wanakuja mwenyewe maana wamekaa ofisini hawana kazi ya kufanya

J
ok. nataka niweke kibanda tu cha kawaida au contena. pia eneo ni la manispaa. biashara ni ndogondogo tu za kijasiriamali, kama nguo, vyakula nk.
 
ok. nataka niweke kibanda tu cha kawaida au contena. pia eneo ni la manispaa. biashara ni ndogondogo tu za kijasiriamali, kama nguo, vyakula nk.
Wewe ongea na serikali za mtaa upate kitambulisho cha mjasiriamali kesha uweke banda lako hapo maisha yaendelee.The rest will be history.All the best
 
Back
Top Bottom