blandes 001
Member
- Mar 7, 2017
- 58
- 92
sangara kwa sasa hawapatikani. na soko lake halieleweki ndomaana tumesimama kidgoMimi situmii sato. Na sangara nnaponunua ndio wana hiyo bei ya sato
sangara kwa sasa hawapatikani. na soko lake halieleweki ndomaana tumesimama kidgoMimi situmii sato. Na sangara nnaponunua ndio wana hiyo bei ya sato
sangara bei ntakwambia 8700.sangara kwa sasa hawapatikani. na soko lake halieleweki ndomaana tumesimama kidgo
Aisee basi sawasangara bei ntakwambia 8700.
Unaweza kuniona ukihitajia ushauri kwenhe vifaa.Wakuu habari!
Naomba wenye ujuzi wa biashara za samaki, kama wenye mabucha mniambie gharama zake zikoje.
Nina plan ya kuanzisha biashara hii Mungu akijaalia ninahitaji info za kutosha ili nikiji commit nisije kujilaumu mambo yakienda kushoto.
Nahitaji kujua gharama na ushauri wa vitu hivi hapa chini:-
*Mashine ya kukatia
*Samaki bei zake ( Sato & Sangara)
*leseni zipi zinazohitajika kuanzisha butcher la samaki
*Mkoa upi ni cheap kununua samaki?
*freezer aina gani inafaa?
Kama kuna jengine sijaliandika hapo pia mnaweza kunishauri
Hapa ni Ilala Amana kama sikosei, ntakuja tuyajengeUnaweza kuniona ukihitajia ushauri kwenhe vifaa.
Maana mimi ndio kazi yangu 0779420000View attachment 1815963
cc: mahondawNgoja waje kukupa muongozo...
Sawa sawa karibu sana mdauHapa ni Ilala Amana kama sikosei, ntakuja tuyajenge