Mtalebani Mweupe
JF-Expert Member
- Mar 12, 2020
- 565
- 654
Wakuu habari!
Naomba wenye ujuzi wa biashara za samaki, kama wenye mabucha mniambie gharama zake zikoje.
Nina plan ya kuanzisha biashara hii Mungu akijaalia ninahitaji info za kutosha ili nikiji commit nisije kujilaumu mambo yakienda kushoto.
Nahitaji kujua gharama na ushauri wa vitu hivi hapa chini:-
*Mashine ya kukatia
*Samaki bei zake ( Sato & Sangara)
*leseni zipi zinazohitajika kuanzisha butcher la samaki
*Mkoa upi ni cheap kununua samaki?
*freezer aina gani inafaa?
Kama kuna jengine sijaliandika hapo pia mnaweza kunishauri
Naomba wenye ujuzi wa biashara za samaki, kama wenye mabucha mniambie gharama zake zikoje.
Nina plan ya kuanzisha biashara hii Mungu akijaalia ninahitaji info za kutosha ili nikiji commit nisije kujilaumu mambo yakienda kushoto.
Nahitaji kujua gharama na ushauri wa vitu hivi hapa chini:-
*Mashine ya kukatia
*Samaki bei zake ( Sato & Sangara)
*leseni zipi zinazohitajika kuanzisha butcher la samaki
*Mkoa upi ni cheap kununua samaki?
*freezer aina gani inafaa?
Kama kuna jengine sijaliandika hapo pia mnaweza kunishauri
