Msaada kuhusu antena ya Startimes

Msaada kuhusu antena ya Startimes

Arabian Eagle

Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
71
Reaction score
46
Habar zenu wadau.
Leo niko na hoja kwa wale wanaotumia Startimes antenna

Miaka ya nyuma kulikuwa na zile code unapata channels za bure kama mbcbollwood mbc colorstv n.k

Je siku hizi mnazipata?? Au wameweka pini?

Kama yuko mdau anazifahamu na anapata anijuze tafadhali... maeneo ya dodoma Dar es salaam na kwingineko.
 
Back
Top Bottom