Toto mol
JF-Expert Member
- Oct 18, 2022
- 2,404
- 3,567
Habari wadau kwema wote naona woote hamujambo humu 😁 wenye changamoto yoyote na mahangaiko ya dunia poleni sana,
Nije kwenye mada yangu inahusu hivi, nina account ya Twitter sijaingia siku, mpaka yule jamaa akanunua sasa naona vitu vipya nimeingia vizuri sasa kimbembe kinakuja kwenye following account mbalimbali inaleta like this👇
Haya nikasema niende kulia Go to x.com sawa nikaenda👇
Nimefika hapo nimechanganyikiwa sielewi nisaidieni wadau nifanyeje,
Chief-Mkwawa
Nije kwenye mada yangu inahusu hivi, nina account ya Twitter sijaingia siku, mpaka yule jamaa akanunua sasa naona vitu vipya nimeingia vizuri sasa kimbembe kinakuja kwenye following account mbalimbali inaleta like this👇
Haya nikasema niende kulia Go to x.com sawa nikaenda👇
Nimefika hapo nimechanganyikiwa sielewi nisaidieni wadau nifanyeje,
Chief-Mkwawa