The Conscious
JF-Expert Member
- Mar 18, 2021
- 461
- 701
Wakuu habar za majukum
Kwa wale ambao wanauzoefu wa kutuma document ambazo zimescaniwa.
Naomba kufahamishwa kama mihuri na saini(signature) katika document ambayo naituma kwa njia ya ku scan,mtu ambaye namtumia ataiona ikiwa na rangi halisi baada ya kuiprint au inakuaje.
Kwa wale ambao wanauzoefu wa kutuma document ambazo zimescaniwa.
Naomba kufahamishwa kama mihuri na saini(signature) katika document ambayo naituma kwa njia ya ku scan,mtu ambaye namtumia ataiona ikiwa na rangi halisi baada ya kuiprint au inakuaje.