the galaxy a
Senior Member
- Mar 25, 2017
- 183
- 110
Habarini wakubwa,kama kichwa cha habari kinavosema hapo juu najua kuna watu tofauti humu ndani wanaweza kutoa msaada, nina mdogo wangu ambaye nilimpambania aingie JKT na sasa anakaribia kumaliza mkataba wake na hitaji lake kuu ni kuhamia kambi ya JKT makutopora ambayo ina chuo cha ufundi ili aweze kusomea ujuzi wowote pale,ila changamoto ni jinsi gani ataweza kuhama na hatuna wa kumshika mkono na kumpambania aweze kuhama,Naomba msaada kwa mwenye uwezo wa kumsaidia aweze kwenda makutupora jkt apate mafunzo ya veta ,natanguliza shukurani.