babuwaloliondo
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 378
- 174
Wadau,
Ninakibanda changu cha vyumba 4 kimara mwisho, ningependa kujua makadirio ya kuezeka.
Ninakibanda changu cha vyumba 4 kimara mwisho, ningependa kujua makadirio ya kuezeka.
Wadau,
Ninakibanda changu cha vyumba 4 kimara mwisho, ningependa kujua makadirio ya kuezeka.
nashukuru kwa mchango wako mkuuUmekosa mafundi wa kukufanyia estimate? Sio bure inabidi uwalipe hiyo ni taaluma watafute wataku-charge kama kawaida lakini kama unaamua kwenda solo ni poa vile vile.
nakushauri utumie miti kujenga na kuezeka,mimi niitumia miti ya mirunda,ipo kila mahali in Dar,na huwa ipo treted vizuri sana.
gharama huwa ni chini kuliko mbao zilizokuwa treated.
bati nenda kiwandani ukanunue,
kimsingi andaa around mili 2.5 hadi 3 kukamilisha zoezi
Mkuu NM,
Are mirunda aplicable on roofing? Inamaana inatumika badala ya mbao? Haiozi? Uimara wake je?
sisi wengine huwa tunabaki kushangaa kwenye gharama za hawa watu wenye fani zao.
Jamani hivi inakuwaje kwa mfano gharama za vifaa ni X na ufundi unakuwa unakuwa 50% of X.?
Linalonishangaza zaidi ni hawa mafundi wa mitaani ambao wengi wao ni std 7 au max. form 4,hivi kuna ulakini gani ukiwatumia hawa,maana nyumba ya baba yangu alitumia contractors,mimi nimewatumia hawa wa mitaani kuezeka bati za SA,na wametoa kama nilivyotaka,je kuna hatari inanisubiri kama paa kuanguka etc?
Maana wakati wa mabomu nyumba zilizokuwa zikilegea na kuanguka ni za watu wenye certification ya CRB au kuna uchakachuaji?Naomba msamaha kama nimekwaza mtu.