Msaada: Kubadili taarifa za NIDA

Omy2000

Member
Aug 24, 2020
43
29
Habari wakuu, naomba kujua taratibu za kubadili taarifa za nida na vitu gani muhimu vinahitajika. Nawasilisha, asante.
 
Habari wakuu, naomba kujua taratibu za kubadili taarifa za nida na vitu gani muhimu vinahitajika. Nawasilisha, asante.
Sijajua kama taarifa za kweli ama laa nadhani itakupa mwanga kama taarifa zitakua za kweli
 

Attachments

  • FB_IMG_17009903465932421.jpg
    FB_IMG_17009903465932421.jpg
    87.1 KB · Views: 16
Fika Ofisi Za NIDA Kupata Muongozo.



Taarifa Zote Ukifika Ofisi Za NIDA Ambazo Ni Ofisi Kuu Utapewa Utaratibu Mzuri Sana.

Kwa Dar Es salaam Walikuwa Kule Kawe Karibu Na Kituo Kidogo Cha Daladala (Kanisani).
 
Habari wakuu, naomba kujua taratibu za kubadili taarifa za nida na vitu gani muhimu vinahitajika. Nawasilisha, asante.
Mimi ni mhanga wa hilo suala, na nashukuru mwaka jana mwanzoni nilifanikiwa kulisolve.

Mimi binafsi Nilifanya hatua zifuatazo.
(1) Deadpool: unaenda kwa mwanasheria yeyote anakutengenezea hiyo document, ina copy 3. Garama ilikuwa 10,000/= inategemea na mwanasheria wako.

(2) Unaipeleka Deadpool ofisi za ardhi, kwa dsm unaweza peleka wizara ya ardhi kule posta. Garama 32,000/= (hii process inachukua karbia week)


(3) Utapewa copy 2 kutoka ofice za ardhi, copy moja utaituma kwenda gazeti la taifa kwa EMS, kutuma ni 15,000/=. Kama upo Dodoma unaweza peleka mwenyewe..

(4) tangazo lako likitoka kwa gazeti, inategemea na muda kwa maana hilo gazeti huea linatoka mara moja kwa mwezi. Utachukua copy ya gazeti, copy ya Deadpool iliyobak, na vyeti vyako vyote then utapeleka office za NIDA ulipojiandikisha then utalipia 20,000/= huko.

Then kazi imeisha. Unasubiri kama week kadhaa wanakubadilishia
 
Mimi ni mhanga wa hilo suala, na nashukuru mwaka jana mwanzoni nilifanikiwa kulisolve.

Mimi binafsi Nilifanya hatua zifuatazo.
(1) Deadpool: unaenda kwa mwanasheria yeyote anakutengenezea hiyo document, ina copy 3. Garama ilikuwa 10,000/= inategemea na mwanasheria wako.

(2) unaipeleka Deadpool ofisi za ardhi, kwa dsm unaweza peleka wizara ya ardhi kule posta. Garama 32,000/= (hii process inachukua karbia week)


(3) utaoewa copy 2 kutoka ofice za ardhi, copy moja utaituma kwenda gazeti la taifa kwa EMS, kutuma ni 15,000/=. Kama upo Dodoma unaweza peleka mwenyewe..

(4) tangazo lako likitoka kwa gazeti, inategemea na muda kwa maana hilo gazeti huea linatoka mara moja kwa mwezi. Utachukua copy ya gazeti, copy ya Deadpool iliyobak, na vyeti vyako vyote then utapeleka office za NIDA ulipojiandikisha then utalipia 20,000/= huko.

Than kazi imeisha. Unasubir kama week kadhaa wanakubadilishia
Ikiwa na ID Card walikupaga nayo wanakubadilishia au wanadili na Majina tu kwenye system?
 
Habari wakuu, naomba kujua taratibu za kubadili taarifa za nida na vitu gani muhimu vinahitajika. Nawasilisha, asante.
Taarifa ipi ?? Maana taratibu hutegemeana na aina ya taarifa unayotaka kubadili.
 
Back
Top Bottom