KERO Kuna changamoto za Kimtandao kwenye Mfumo wa Anwani za NAPA, uboreshwe

KERO Kuna changamoto za Kimtandao kwenye Mfumo wa Anwani za NAPA, uboreshwe

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

MANVOICEhd

New Member
Joined
Feb 1, 2026
Posts
4
Reaction score
2
Mfumo wa NaPA na NIDA imekuwa ikileta changamoto, hapo kabla ulikuwa ukijaza Namba ya NIDA ya mtu kwenye usasishaji wa taarifa za mkazi inaleta taarifa zake, ukianza na majina yake matatu na jinsia sasa hivi imekuwa tofauti namba ya NIDA haitoi maelezo yoyote tunaomba mfumo huu muhimu wa anwani za makazi uboreshwe kwenye hilo.
 
Back
Top Bottom