Mkuu habari,
Mimi nimeenda NIDA leo kwa kesi hii ila wamenambia niandike barua ya kumba kibali niambatishe nakala za ushahidi na wakasema maombi hayo yanachukua muda mrefu hata miezi 5
Je kuna haha ya kutoandika barua badala ake nikatafuta deed pool kulingana na maelezo ako apo?
Mimi nimeenda NIDA leo kwa kesi hii ila wamenambia niandike barua ya kumba kibali niambatishe nakala za ushahidi na wakasema maombi hayo yanachukua muda mrefu hata miezi 5
Je kuna haha ya kutoandika barua badala ake nikatafuta deed pool kulingana na maelezo ako apo?