tamuuuuu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 19,956
- 25,181
Wapendwa katika bwana naomba kusaidiwa mtoto wa kike aliyeishia darasa la saba asomee ujuzi gani angalau awe na cha kufanya katika zama hizi? Nimeombwa ushauri toka huku kijijini kwetu. Me nimesema mambo ya saloon za kike.
Sasa nimeona niwashirikishe mama, dada, baba na kaka zangu humu. Na kama veta kuna kufunzwa hiyo ujuzi.
Mawazo yenu tafadhari, mbarikiwe sana.
Sasa nimeona niwashirikishe mama, dada, baba na kaka zangu humu. Na kama veta kuna kufunzwa hiyo ujuzi.
Mawazo yenu tafadhari, mbarikiwe sana.