Msaada: Kitabu cha Hisabati STD V

Baba_Enock

JF-Expert Member
Aug 21, 2008
7,076
2,445
Habari Wanajf,

Ninaomba kama kuna member anaweza kunisaidia kupata kitabu cha hisabati darasa la tano kilichochapishwa na Ben & Company.

Mdogo wangu anakiitaji sana kiweze kumsaidia kumudu somo hilo.

Nimetafuta sana kwenye Bookshops hapa mjini lakini bado sijafanikiwa.

Natanguliza shukrani.

Baba Enock
 
Back
Top Bottom