Internal
JF-Expert Member
- Feb 23, 2017
- 3,575
- 3,894
Wadau kama kichwa kilivyo,
Kuna ndugu yangu amemjeruhi mtu kwa kumkata na panga baada ya kumfumania na mke wake, sasa amekamatwa yuko chini ya vyombo vya sheria. Nimefuatilia tukaambiwa kwa sasa hakuna chochote kitaendelea mpaka aliejeruhiwa apone. Sasa nawaza akipona tutamsaidiaje ndugu yetu?? Na je ikitokea asipopona nini tutafanya ili kumsaidia ndugu yetu?
Karibuni. Sijapeleka jukwaa la sheria maana humu naamini wapitiaji ni wengi hivyo nitasaidika mapema.
Kuna ndugu yangu amemjeruhi mtu kwa kumkata na panga baada ya kumfumania na mke wake, sasa amekamatwa yuko chini ya vyombo vya sheria. Nimefuatilia tukaambiwa kwa sasa hakuna chochote kitaendelea mpaka aliejeruhiwa apone. Sasa nawaza akipona tutamsaidiaje ndugu yetu?? Na je ikitokea asipopona nini tutafanya ili kumsaidia ndugu yetu?
Karibuni. Sijapeleka jukwaa la sheria maana humu naamini wapitiaji ni wengi hivyo nitasaidika mapema.