MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 29,097
- 35,475
Nami pia nina ibirisi hilo, mpaka msemo wa "ng'ombe wa masikini azai" unaanza kunitawala.
Vijana wengi mno
Nami pia nina ibirisi hilo, mpaka msemo wa "ng'ombe wa masikini azai" unaanza kunitawala.
Hiyo ni inshu ndogo inawezekana kuna roho ya kifungo inakufatilia pia roho ya kutokustawi,ushauri wangu ni kwmba kama hujaokoka tafuta kanisa la kiroho lililokaribu ukaongozwe sala ya toba uokoke na baada ya hapo ukishafunguliwa kila ukipata hela kwnye mapato yako katoe fungu la kumi (10%) ya mapato yako yote unayopataga,hiyo itasaidia pia kufungua baraka zako nyingi na pia kuiwekea ulinzi fedha yako iliyobakia na matatizo hayatakupata mara kwa mara
N.B usipookoka hata uwe unalala kanisani au unaombewa kila siku kamwe matatzo hayataisha kukuandama.
Simple,usipate pesa sasa!!!!
Naomba kupingana na wote waliotoa ushauri kuwa aendw kwenye makanisa ya kilokole/kiroho.
1. Issue ya kiimani inahitaji imani hasa, iwapo akienda na hana imani ni kazi bure.
2. Kwa imani yake aliyonayo kwa Mungu iwe ni Mkristo au Mwislam, kwanza aanze kujitathimini mwenyewe je ana uhusiano mzuri na Mungu wake? Mf. Je anatoa sehemu ya kumi ya mapato yake katika dhehebu lake? (nina imani wakristo na waislamu huwa tuna hii ibada) iwapo hatoa basi asali na kuomba msamaha kwa kutotoa hiyo sadaka /zaka.
3. Kama kuna matendo mabaya aliwahi kuwafanyia watu kama vile kudhulumu au njia anayotumia kupata hizo pesa sio halali hakika hazitadumu ndio sababu zinaondoka kupitia matatizo.
4. Kama ulikuwa huwasaidii wahitaji anza leo, ila angalia kuna matapeli wengi katika hili
Mwisho sali/omba Mungu akuondolee hilo pepo la matatizo baada ya kujitathimini. Usiamini katika kwenda kuombewa kwani huko wanatoza fedha kwa ajili ya kufunguliwa n.k.
Ni mtazamo wangu CL...
nenda kwa walokole ukaombewe tatizo litaisha, hiyo ni roho ya ufukara inakufuatilia.
Makanisa ya kwenda ni Roman Catholic church au Anglican church (CPT) au KKKT, ya kiroho ni ya wahuni walioasi kwenye makanisa halali. Yaani usiende kwenye kanisa ambalo kiongozi wake ni mtu wa kawaida tu aliyemjasiriamali wa kupiga hela za watu na wake zao. Utakuta mchungaji/nabii/mtume hajasomea mahali popote ila atakuambia anafufua watu wakati hata kuku hajawahi kufufua.
Kwa imani yako mwenyewe muombe MUNGU kwani hata wewe anakusikia tena vizuri tu ukiwa chumbani kwako. Ila jumapili hudhuria kwenye ibada kwenye makanisa tajwa hapo juu.
Mkuu kuna wakati matatizo hayaongezeki, ila wewe binafsi unaongeza wajibu, ukidhani kila tatizo linalofika mbele yako waweza litatua. Mfano ukiwa huna pesa ukasikia ndugu fulani kashindwa kwenda shule kwa sababu ya kukosekana ada, inaweza isiwe tatizo. Lakini ukiwa na pesa, ukasikia hiyo taarifa unaweza ukapatwa na bwana huruma na kutaka kusaidia.Nina bahati ya kupata hela,kila nikizipata linafata tatizo sijawahi fanya kitu cha maana.
Msaada tafadhali
Nina bahati ya kupata hela,kila nikizipata linafata tatizo sijawahi fanya kitu cha maana.
Msaada tafadhali
Nina bahati ya kupata hela,kila nikizipata linafata tatizo sijawahi fanya kitu cha maana.
Msaada tafadhali
Naomba kupingana na wote waliotoa ushauri kuwa aendw kwenye makanisa ya kilokole/kiroho.
1. Issue ya kiimani inahitaji imani hasa, iwapo akienda na hana imani ni kazi bure.
2. Kwa imani yake aliyonayo kwa Mungu iwe ni Mkristo au Mwislam, kwanza aanze kujitathimini mwenyewe je ana uhusiano mzuri na Mungu wake? Mf. Je anatoa sehemu ya kumi ya mapato yake katika dhehebu lake? (nina imani wakristo na waislamu huwa tuna hii ibada) iwapo hatoa basi asali na kuomba msamaha kwa kutotoa hiyo sadaka /zaka.
3. Kama kuna matendo mabaya aliwahi kuwafanyia watu kama vile kudhulumu au njia anayotumia kupata hizo pesa sio halali hakika hazitadumu ndio sababu zinaondoka kupitia matatizo.
4. Kama ulikuwa huwasaidii wahitaji anza leo, ila angalia kuna matapeli wengi katika hili
Mwisho sali/omba Mungu akuondolee hilo pepo la matatizo baada ya kujitathimini. Usiamini katika kwenda kuombewa kwani huko wanatoza fedha kwa ajili ya kufunguliwa n.k.
Ni mtazamo wangu CL...
Naomba kupingana na wote waliotoa ushauri kuwa aendw kwenye makanisa ya kilokole/kiroho.
1. Issue ya kiimani inahitaji imani hasa, iwapo akienda na hana imani ni kazi bure.
2. Kwa imani yake aliyonayo kwa Mungu iwe ni Mkristo au Mwislam, kwanza aanze kujitathimini mwenyewe je ana uhusiano mzuri na Mungu wake? Mf. Je anatoa sehemu ya kumi ya mapato yake katika dhehebu lake? (nina imani wakristo na waislamu huwa tuna hii ibada) iwapo hatoa basi asali na kuomba msamaha kwa kutotoa hiyo sadaka /zaka.
3. Kama kuna matendo mabaya aliwahi kuwafanyia watu kama vile kudhulumu au njia anayotumia kupata hizo pesa sio halali hakika hazitadumu ndio sababu zinaondoka kupitia matatizo.
4. Kama ulikuwa huwasaidii wahitaji anza leo, ila angalia kuna matapeli wengi katika hili
Mwisho sali/omba Mungu akuondolee hilo pepo la matatizo baada ya kujitathimini. Usiamini katika kwenda kuombewa kwani huko wanatoza fedha kwa ajili ya kufunguliwa n.k.
Ni mtazamo wangu CL...
Nina bahati ya kupata hela,kila nikizipata linafata tatizo sijawahi fanya kitu cha maana.
Msaada tafadhali
Bora wewe Mi kila nikipata hela zinaishia kwenye pombe naweza malizia laki mbili baa kwa siku moja na kesho naamka sina hata hela ya supu...