Msaada: Kila mwanamke ninayemuoa anakuwa na huyu kiumbe ndani yake, ni nani huyu?

Mkuu unavuta bange? Halafu inaonekana unatamani sana kumgonga huyo jini live live!! Yani kiufupi hutaki kuachana nae,unataka uwe unapiga show live bila chenga!! Duuh! Anatoa na tigo nini? Hongera kwa kupiga show kali na Kiti ake



Dah?!
 
Natumai mko poa wakuu na mwenye matatizo Mungu amuondoshee.

Kuna Hali naipitia maishan mwangu,mwanzo niliidharau lakini kwa Sasa naumiza Sana kichwa kuujua ukweli wa hili jambo.Kwa kuwa najua humu Kuna wenye ujuzi juu ya mambo mbalimbali naomba niwashirikishe hili kupata ushauri wenu.

Mara ya Kwanza nilipooa mke yule alikuwa anapandisha jini na yule jini ilifika siku aliomba nimsaidie kwani amefungwa na mchawi kwa kuwa anatoa Siri zake nyingi. Akaniagiza mishumaa 7 na baadh ya dawa na akaniagiza Cha kufanya.

Kweli nilifanya Ile kazi na nikamuogesha dawa akiwa amepanda kichwan kwa wife.hapo alishukuru Sana na akasema Sasa yupo huru duniani.

Mambo yakaanza sasa ikawa nikifanya mapenzi na mke wangu anakuja yeye kichwan nami namsugua kwelikweli aisee.

Cha kushangaza wife akiamka anakuwa hajui kabisa kama tumesex na hata uchi wake unakuwa Kama hajafanya kitu wakat unakuta imepigwa show Kali sana,nikajua nasex na yule jini.
Tufupishe story
Maisha haya yaliendelea na hata ikafika wakati maajabu yakaanza sasa.

Akaanza kunipigia simu kwa namba ya tigo 0659 .. ... .. anajitambulisha na ananiambia nipo hapa ufukweni nmetulia nikaona nikupgie,tunaongea na akikata simu muda huohuo nkpga hapatikan

Kuna siku Niko ndan akanipigia simu ananiambia nipo nje nikamkazia leo nataka nikuone akasema toka nje utanihisi Ila hutoweza kuniona kwa macho yako Basi nikatoka nje mbele yangu Kuna Baraza wamama kibao wamekaa

Ananiambia nipo hapa nakuona,nikamwambia acha kunizingua akaniambia ngoja nikuguse hili uamini Basi nikahisi mkono laini umenikamata begani nikageuka nyuma sion mtu Hapo nikahisi kuchanganyikiwa nikarud ndan fasta.

Maisha yakaenda mpaka nikatengana na yule mke kwa sababu zingine ambazo sikuweza kuzivumilia nikamuacha

MKE WA PILI
-Nikaoa Tena mke mwingine,huyu hakuwa na pepo Wala kibwengo chochote tukaishi Kama miez sita,baada ya Hapo Ile Hali ikarudi nikisex nae mara jini anaingia yeye na akiingia yeye namgonga kwelikweli mpk anaenjoy ananiaga anaondoka,wife akiamka anakuwa Kama yule wa mwanzo hajui lolote Wala anasema hatujafanya kitu na anakuwa na hamu zake vilevile Kama hajafanya kitu nampa haki yake tunalala.nikaja nikaachana nae baada ya kujua kufanya dhambi niliyoshindwa kumvumilia.

MKE WA TATU(aliyepo)
Baada ya kuoa haikuchukua muda Hali ileile ikarudi,juzi nimeamka asubuh Kila nikitaka kutoka home nilipatwa na usingiz mkali Sana ambao sijawahi patwa nikalala ghafla nikaota niko hotelini nasex na yule jini mpaka tukamaliza,kuamka wife akaniambia alikuwa ananitazama tu ninavokata mauno na kusikilizia utamu kitandani,nikamwambia Ni ndoto tu Ila Cha ajabu nilimwaga sperms lkn sikuona boxa Wala shuka kulowa.

Sasa maswali ninayojiuliza Ni haya
-huyu kiumbe Ni yuleyule au Ni mwingine?

-kama Ni yuleyule kwanini aning`ang`anie hivi

-Je naweza kufanya lipi nimuone live na nimgongege live?

Je naweza kumuendesha nitakavyo?

Wenye ujuzi angalau kidogo na mambo haya ya kiroho napokea ushauri wowote.

#Mshana na wengineo karibuni
Huyo kiumbe hayumo kwa wanawake, yumo ndani (kichwani) mwako.
 
Natumai mko poa wakuu na mwenye matatizo Mungu amuondoshee.

Kuna Hali naipitia maishan mwangu,mwanzo niliidharau lakini kwa Sasa naumiza Sana kichwa kuujua ukweli wa hili jambo.Kwa kuwa najua humu Kuna wenye ujuzi juu ya mambo mbalimbali naomba niwashirikishe hili kupata ushauri wenu.

Mara ya Kwanza nilipooa mke yule alikuwa anapandisha jini na yule jini ilifika siku aliomba nimsaidie kwani amefungwa na mchawi kwa kuwa anatoa Siri zake nyingi. Akaniagiza mishumaa 7 na baadh ya dawa na akaniagiza Cha kufanya.

Kweli nilifanya Ile kazi na nikamuogesha dawa akiwa amepanda kichwan kwa wife.hapo alishukuru Sana na akasema Sasa yupo huru duniani.

Mambo yakaanza sasa ikawa nikifanya mapenzi na mke wangu anakuja yeye kichwan nami namsugua kwelikweli aisee.

Cha kushangaza wife akiamka anakuwa hajui kabisa kama tumesex na hata uchi wake unakuwa Kama hajafanya kitu wakat unakuta imepigwa show Kali sana,nikajua nasex na yule jini.
Tufupishe story
Maisha haya yaliendelea na hata ikafika wakati maajabu yakaanza sasa.

Akaanza kunipigia simu kwa namba ya tigo 0659 .. ... .. anajitambulisha na ananiambia nipo hapa ufukweni nmetulia nikaona nikupgie,tunaongea na akikata simu muda huohuo nkpga hapatikan

Kuna siku Niko ndan akanipigia simu ananiambia nipo nje nikamkazia leo nataka nikuone akasema toka nje utanihisi Ila hutoweza kuniona kwa macho yako Basi nikatoka nje mbele yangu Kuna Baraza wamama kibao wamekaa

Ananiambia nipo hapa nakuona,nikamwambia acha kunizingua akaniambia ngoja nikuguse hili uamini Basi nikahisi mkono laini umenikamata begani nikageuka nyuma sion mtu Hapo nikahisi kuchanganyikiwa nikarud ndan fasta.

Maisha yakaenda mpaka nikatengana na yule mke kwa sababu zingine ambazo sikuweza kuzivumilia nikamuacha

MKE WA PILI
-Nikaoa Tena mke mwingine,huyu hakuwa na pepo Wala kibwengo chochote tukaishi Kama miez sita,baada ya Hapo Ile Hali ikarudi nikisex nae mara jini anaingia yeye na akiingia yeye namgonga kwelikweli mpk anaenjoy ananiaga anaondoka,wife akiamka anakuwa Kama yule wa mwanzo hajui lolote Wala anasema hatujafanya kitu na anakuwa na hamu zake vilevile Kama hajafanya kitu nampa haki yake tunalala.nikaja nikaachana nae baada ya kujua kufanya dhambi niliyoshindwa kumvumilia.

MKE WA TATU(aliyepo)
Baada ya kuoa haikuchukua muda Hali ileile ikarudi,juzi nimeamka asubuh Kila nikitaka kutoka home nilipatwa na usingiz mkali Sana ambao sijawahi patwa nikalala ghafla nikaota niko hotelini nasex na yule jini mpaka tukamaliza,kuamka wife akaniambia alikuwa ananitazama tu ninavokata mauno na kusikilizia utamu kitandani,nikamwambia Ni ndoto tu Ila Cha ajabu nilimwaga sperms lkn sikuona boxa Wala shuka kulowa.

Sasa maswali ninayojiuliza Ni haya
-huyu kiumbe Ni yuleyule au Ni mwingine?

-kama Ni yuleyule kwanini aning`ang`anie hivi

-Je naweza kufanya lipi nimuone live na nimgongege live?

Je naweza kumuendesha nitakavyo?

Wenye ujuzi angalau kidogo na mambo haya ya kiroho napokea ushauri wowote.

#Mshana na wengineo karibuni
Ndugu poleni sana, unahitaji msaada wa haraka, kuna ulimwengu wa Roho na kuna ulimwengu wa mwili ambao ndo huu tunaishi, kinachofanyika kwenye ulimwengu wa Roho majini ya Baharini ambayo yanaongozwa na Malikia wa pwani ndiyo hujegeuza kuwa wasichana na kuja kwenye ndoto na kufanya mapenzi, na hawawezi kuja live maaana hawana uwezo wa kuja duniani live maana hawana mili ya duniani, na hawa mapepo ni halisi ni viumbe wa kutisha lengo lao ni kumfanyia kazi shetani na kuwapeleka wanadamu wengi motoni, hawa viumbe ni hatari sana na utakutana nao kwenye umbo lao halisi siku utakavyokufa na hapo utajuta na hautakuwa na mda wa kutengeneza
Hawa majini wa kike wakikupenda wanawatafuta watu wa kwenu ambao ni wachawi na wanapeleka mahari kwenu kupitia njia ya kichawi, kinachofanyika unafunga nayo ndoa kwenye ndoto au kwenye ulimwengu wa Roho, na huwezi kukaa na mwanamke yeyote ndugu na hata ukioa huwezi kukaa na mke!! Na kibaya zaidi ukifanya nao mapenzi zile sperm wanazichukua wanazipeleka kuzimu kwenye kuzifanyia uchawi wao, hutaishi mda mrefu nayo wakiishapata mtoto na wewe!! Tabua kazi kubwa ya viumbe hivyi ni kuchinja kuua na kuharibu, (Yohana 10:10), ndugu ipo njia ya kujinasua kutoka kwenye haya majini mahaba na njia ni nyepesi kabisa, naomba kama kweli umedhamiria kuachana na majini mahaba naomba nifuate inbox!! Nitakusaidia na wewe utawasaidia wengine, usione ni ufahari kufanya mapenzi na shetani, laiti ungemjua huyo kiumbe ndugu yangu, na ukiona unamwaga shahawa na ukiamua huzioni jua kifo chako kinakaribia, Roho yako ilishachafuliwa ndugu yangu unahitaji msaada wa Mungu, kumbuka Mungu aliumba wanadamu kwa wanadamu sio mwanadamu kwa majini!!
 
Natumai mko poa wakuu na mwenye matatizo Mungu amuondoshee.

Kuna Hali naipitia maishan mwangu,mwanzo niliidharau lakini kwa Sasa naumiza Sana kichwa kuujua ukweli wa hili jambo.Kwa kuwa najua humu Kuna wenye ujuzi juu ya mambo mbalimbali naomba niwashirikishe hili kupata ushauri wenu.

Mara ya Kwanza nilipooa mke yule alikuwa anapandisha jini na yule jini ilifika siku aliomba nimsaidie kwani amefungwa na mchawi kwa kuwa anatoa Siri zake nyingi. Akaniagiza mishumaa 7 na baadh ya dawa na akaniagiza Cha kufanya.

Kweli nilifanya Ile kazi na nikamuogesha dawa akiwa amepanda kichwan kwa wife.hapo alishukuru Sana na akasema Sasa yupo huru duniani.

Mambo yakaanza sasa ikawa nikifanya mapenzi na mke wangu anakuja yeye kichwan nami namsugua kwelikweli aisee.

Cha kushangaza wife akiamka anakuwa hajui kabisa kama tumesex na hata uchi wake unakuwa Kama hajafanya kitu wakat unakuta imepigwa show Kali sana,nikajua nasex na yule jini.
Tufupishe story
Maisha haya yaliendelea na hata ikafika wakati maajabu yakaanza sasa.

Akaanza kunipigia simu kwa namba ya tigo 0659 .. ... .. anajitambulisha na ananiambia nipo hapa ufukweni nmetulia nikaona nikupgie,tunaongea na akikata simu muda huohuo nkpga hapatikan

Kuna siku Niko ndan akanipigia simu ananiambia nipo nje nikamkazia leo nataka nikuone akasema toka nje utanihisi Ila hutoweza kuniona kwa macho yako Basi nikatoka nje mbele yangu Kuna Baraza wamama kibao wamekaa

Ananiambia nipo hapa nakuona,nikamwambia acha kunizingua akaniambia ngoja nikuguse hili uamini Basi nikahisi mkono laini umenikamata begani nikageuka nyuma sion mtu Hapo nikahisi kuchanganyikiwa nikarud ndan fasta.

Maisha yakaenda mpaka nikatengana na yule mke kwa sababu zingine ambazo sikuweza kuzivumilia nikamuacha

MKE WA PILI
-Nikaoa Tena mke mwingine,huyu hakuwa na pepo Wala kibwengo chochote tukaishi Kama miez sita,baada ya Hapo Ile Hali ikarudi nikisex nae mara jini anaingia yeye na akiingia yeye namgonga kwelikweli mpk anaenjoy ananiaga anaondoka,wife akiamka anakuwa Kama yule wa mwanzo hajui lolote Wala anasema hatujafanya kitu na anakuwa na hamu zake vilevile Kama hajafanya kitu nampa haki yake tunalala.nikaja nikaachana nae baada ya kujua kufanya dhambi niliyoshindwa kumvumilia.

MKE WA TATU(aliyepo)
Baada ya kuoa haikuchukua muda Hali ileile ikarudi,juzi nimeamka asubuh Kila nikitaka kutoka home nilipatwa na usingiz mkali Sana ambao sijawahi patwa nikalala ghafla nikaota niko hotelini nasex na yule jini mpaka tukamaliza,kuamka wife akaniambia alikuwa ananitazama tu ninavokata mauno na kusikilizia utamu kitandani,nikamwambia Ni ndoto tu Ila Cha ajabu nilimwaga sperms lkn sikuona boxa Wala shuka kulowa.

Sasa maswali ninayojiuliza Ni haya
-huyu kiumbe Ni yuleyule au Ni mwingine?

-kama Ni yuleyule kwanini aning`ang`anie hivi

-Je naweza kufanya lipi nimuone live na nimgongege live?

Je naweza kumuendesha nitakavyo?

Wenye ujuzi angalau kidogo na mambo haya ya kiroho napokea ushauri wowote.

#Mshana na wengineo karibuni
UkO kwnye ndoa ya kudumu na mdudu,tena wa kike.Ndio maana anafanya vimbwanga kila ajae asikae kwa kudumu na wewe.nina mashaka Wenda tatizo lilianzia kwa yule wa kwanza.
 
UkO kwnye ndoa ya kudumu na mdudu,tena wa kike.Ndio maana anafanya vimbwanga kila ajae asikae kwa kudumu na wewe.nina mashaka Wenda tatizo lilianzia kwa yule wa kwanza.
Wewe pekee ndio umeiona shida. Kama hadithi hii ni ya ni kweli jamaa basi aliuvaa mkenge pale kwenye mke WA Kwanza, mdudu akahamia kwake. Ameyatafuta mwenyewe aanzie hapo.
 
Duu bro we ndo mwenye shida tena nadhani hii shida uliikubali ulivyotii amti kwa mke wa kwanza ukayafanya hayo ya kumueka huru huyo jini. Mwombe Mungu sana akukinge na hizi shari za majini, pia fwata yale yote uliyoamrishwa kwa imani yako na kuacha uliyokatazwa

Ila kuna sehem nahisi hii shida haikusumbui. Unataka umuone live? Umgonge live?
 
Pole sana jini mkata kamba uyo au jini mahaba,kazi unayo utaishia kuoa nankuacha mpka atoke dadeki, sali sana nenda kwa mwamposa n.k atasababisha mengi tu
 
Nadhani ni vema atafute suluhu kulingana na imani yake na kama ni muislamu ajisogeze kwa viongozi wake wa dini
Na kama ni mkristu afanye hivyo pia ..sidhani kama kuna ulazima wa kukufata PM. au kama inawezekana mueleze tu hadharani nawengine utawasaidia pia labda.
 
Natumai mko poa wakuu na mwenye matatizo Mungu amuondoshee.

Kuna Hali naipitia maishan mwangu,mwanzo niliidharau lakini kwa Sasa naumiza Sana kichwa kuujua ukweli wa hili jambo.Kwa kuwa najua humu Kuna wenye ujuzi juu ya mambo mbalimbali naomba niwashirikishe hili kupata ushauri wenu.

Mara ya Kwanza nilipooa mke yule alikuwa anapandisha jini na yule jini ilifika siku aliomba nimsaidie kwani amefungwa na mchawi kwa kuwa anatoa Siri zake nyingi. Akaniagiza mishumaa 7 na baadh ya dawa na akaniagiza Cha kufanya.

Kweli nilifanya Ile kazi na nikamuogesha dawa akiwa amepanda kichwan kwa wife.hapo alishukuru Sana na akasema Sasa yupo huru duniani.

Mambo yakaanza sasa ikawa nikifanya mapenzi na mke wangu anakuja yeye kichwan nami namsugua kwelikweli aisee.

Cha kushangaza wife akiamka anakuwa hajui kabisa kama tumesex na hata uchi wake unakuwa Kama hajafanya kitu wakat unakuta imepigwa show Kali sana,nikajua nasex na yule jini.
Tufupishe story
Maisha haya yaliendelea na hata ikafika wakati maajabu yakaanza sasa.

Akaanza kunipigia simu kwa namba ya tigo 0659 .. ... .. anajitambulisha na ananiambia nipo hapa ufukweni nmetulia nikaona nikupgie,tunaongea na akikata simu muda huohuo nkpga hapatikan

Kuna siku Niko ndan akanipigia simu ananiambia nipo nje nikamkazia leo nataka nikuone akasema toka nje utanihisi Ila hutoweza kuniona kwa macho yako Basi nikatoka nje mbele yangu Kuna Baraza wamama kibao wamekaa

Ananiambia nipo hapa nakuona,nikamwambia acha kunizingua akaniambia ngoja nikuguse hili uamini Basi nikahisi mkono laini umenikamata begani nikageuka nyuma sion mtu Hapo nikahisi kuchanganyikiwa nikarud ndan fasta.

Maisha yakaenda mpaka nikatengana na yule mke kwa sababu zingine ambazo sikuweza kuzivumilia nikamuacha

MKE WA PILI
-Nikaoa Tena mke mwingine,huyu hakuwa na pepo Wala kibwengo chochote tukaishi Kama miez sita,baada ya Hapo Ile Hali ikarudi nikisex nae mara jini anaingia yeye na akiingia yeye namgonga kwelikweli mpk anaenjoy ananiaga anaondoka,wife akiamka anakuwa Kama yule wa mwanzo hajui lolote Wala anasema hatujafanya kitu na anakuwa na hamu zake vilevile Kama hajafanya kitu nampa haki yake tunalala.nikaja nikaachana nae baada ya kujua kufanya dhambi niliyoshindwa kumvumilia.

MKE WA TATU(aliyepo)
Baada ya kuoa haikuchukua muda Hali ileile ikarudi,juzi nimeamka asubuh Kila nikitaka kutoka home nilipatwa na usingiz mkali Sana ambao sijawahi patwa nikalala ghafla nikaota niko hotelini nasex na yule jini mpaka tukamaliza,kuamka wife akaniambia alikuwa ananitazama tu ninavokata mauno na kusikilizia utamu kitandani,nikamwambia Ni ndoto tu Ila Cha ajabu nilimwaga sperms lkn sikuona boxa Wala shuka kulowa.

Sasa maswali ninayojiuliza Ni haya
-huyu kiumbe Ni yuleyule au Ni mwingine?

-kama Ni yuleyule kwanini aning`ang`anie hivi

-Je naweza kufanya lipi nimuone live na nimgongege live?

Je naweza kumuendesha nitakavyo?

Wenye ujuzi angalau kidogo na mambo haya ya kiroho napokea ushauri wowote.

#Mshana na wengineo karibuni
jini nuksi uyo,angaika umtoe, hao wake zako wote uliowaacha ye ndio kachangia kaka angu
 
Back
Top Bottom