Msaada kifua kisichopona

Msaada kifua kisichopona

Consider allergy test...or try to include over-the-counter allergy medication in your treatment
Wengi wana allergy ya vitu wanavyo vipenda na hawajui.
Mfano Mimi Nina allergy na harufu kali yeyote iwe perfumes au harufu mbaya.
Harufu ya jasho ndiyo tatizo kubwa zaidi bila kujali langu au la mwingine.
Niligundua baadae sana. Niliteseka koo linakaba kumeza vitu shida, usiku kichwa kinauma n.k. Nikahofu saratani ya koo kumbe sabuni zenye harufu kali, perfume na deodorant ninazo tumia.
Nikaacha kutumia tatizo likaisha mara moja.
 
Wengi wana allergy ya vitu wanavyo vipenda na hawajui.
Mfano Mimi Nina allergy na harufu kali yeyote iwe perfumes au harufu mbaya.
Harufu ya jasho ndiyo tatizo kubwa zaidi bila kujali langu au la mwingine.
Niligundua baadae sana. Niliteseka koo linakaba kumeza vitu shida, usiku kichwa kinauma n.k. Nikahofu saratani ya koo kumbe sabuni zenye harufu kali, perfume na deodorant ninazo tumia.
Nikaacha kutumia tatizo likaisha mara moja.
Itabidi niende hospital
 
Nimekuwa nikisumbuliwa na kifua na mafua yasiyopona, naombeni msaada mwenye kufahamu dawa au wapi ntapata tiba, Asanteni.
Your defense has been compromised, immunity is weak either from poor nutrition, alcoholic or something acidic. U may need electrical herbs to energized ur immunity.
If you're truly want yourself back improvise organic herbs and foods inorder to regain your power back, oxygen in your cells thro electric Herbs.
Want some?
 
Your defense has been compromised, immunity is weak either from poor nutrition, alcoholic or something acidic. U may need electrical herbs to energized ur immunity.
If you're truly want yourself back improvise organic herbs and foods inorder to regain your power back, oxygen in your cells thro electric Herbs.
What some?
Samahani mkuu unaweza kunifafanunulia kwa kiswahili?
 
Samahani mkuu unaweza kunifafanunulia kwa kiswahili?
Ulinzi wako umeathiriwa, kinga ni dhaifu ama kutokana na lishe duni, ulevi au kitu chenye tindikali (vyakula vya fast food na bidhaa za viwandani). Unaweza kuhitaji mimea ( oxygen nyingi mf. Unapoweka mmea huo kwenye maji basi utaona ukitoa bubble nyingi kwenye maji) yenye umeme ili kuimarisha kinga yako.
Iwapo unataka ujirudishe, pata tiba asili yenye oxygen nyingi (umeme) na vyakula vya asili ili kurejesha nguvu zako, oksijeni kwenye seli zako kupitia Herbs za zenye umeme mwingi (Oxygen) na wakati mwingine huitajika kufunga/ swaumu kama water fasting.
Je, Una hitaji tiba? ni PM.
 
Ulinzi wako umeathiriwa, kinga ni dhaifu ama kutokana na lishe duni, ulevi au kitu chenye tindikali (vyakula vya fast food na bidhaa za viwandani). Unaweza kuhitaji mimea ( oxygen nyingi mf. Unapoweka mmea huo kwenye maji basi utaona ukitoa bubble nyingi kwenye maji) yenye umeme ili kuimarisha kinga yako.
Iwapo unataka ujirudishe, pata tiba asili yenye oxygen nyingi (umeme) na vyakula vya asili ili kurejesha nguvu zako, oksijeni kwenye seli zako kupitia Herbs za zenye umeme mwingi (Oxygen)
Una hitaji tiba ni PM.
Sawa mkuu ntakucheki PM
 
Back
Top Bottom