kiss ov love
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 9,363
- 16,092
- Thread starter
- #41
Ukiwa naimani mimi imani hiyo sinaWengine tunadunda tu, zaidi ya miaka 50 tunatumia hizo tiba
Ukiwa naimani mimi imani hiyo sinaWengine tunadunda tu, zaidi ya miaka 50 tunatumia hizo tiba
Government hospitalAsante mkuu, hospital gani unanishauri niende
Ndio nakwambia hospital ipo huko Moshi mimi mgonjwa wangu alitoka Tukuyu Mbeya..Mimi nipo Dar mkuu
Ndiyo ila ni mara chache mno, ila hiyo siyo chanzoKama tatizo ni la muda mrefu nenda kafanyiwe kipimo, si kawaida kwa sehemu za joto kuwa na hilo tatizo.
Kuna aina fulani ya bia ukinywa, unakuwa na hilo tatizo, je wewe ni mnywaji wa pombe?
Sawa mkuu nitajaribu hukoGovernment hospital
Kwenye kutafuta uhai unatakiwa utumie mbinu zote; uhai ukitoka haurudi.Ukiwa naimani mimi imani hiyo sina
Dah! Huko mbali ngoja niangalie huku huku town kama naweza kupataNdio nakwambia hospital ipo huko Moshi mimi mgonjwa wangu alitoka Tukuyu Mbeya..
Inabidi uende na mwenzako mkachekiweNdiyo ila ni mara chache mno, ila hiyo siyo chanzo
Asante mkuu, huwa naoga hayo mara moja mojaPia angalia mazingira unayoishi kama bondeni au karibu na mto kunakuwa na upepo mafua na vikohozi vingi
Muhimu anza kuoga maji moto muda wote bila kujali kuna joto au baridi utanipa mrejesho.
Ninaeumwa ni mimi peke yanguInabidi uende na mwenzako mkachekiwe
Ok poa poa angalia ingawaje wale matibabu yao serikali imetia mkono sio gharama sana kama hapa Daslm..Dah! Huko mbali ngoja niangalie huku huku town kama naweza kupata
Aaaah unafanya Shughuli gan? ( Huwezi elezea hapa ,nijibu inbox)Ndiyo hicho kinachonisumbua mkuu
Ninaeumwa ni mimi peke yangu
Mazingira ninayoshinda hivi vyakula hawatengeneziPiga hii dozi
Kunywa supu ya samaki sato kila asubuhi kwa siku 7 Mchana kula matunda mchanganyiko kwa siku 7 Saa kumi, pata glasi mbili za maziwa freshi kwa siku 7 Pata mchemsho wa kuku wa kienyeji na glasi mbili za juisi kwa siku 7 Kunywa maji mengi yenye ubaridi wakawaida.Baada ya hapo kifua na makamasi kwishaaa
Yaani ni shuguli za usafi ofisini mwa watu kwahiyo kukutana na vumbi vumbi ni kawaida mno, hiyo shida ina muda mrefu ilikuwa inakuja naipotezea nikajua ni kawaida tuAaaah unafanya Shughuli gan? ( Huwezi elezea hapa ,nijibu inbox)
Alafu hiyo shida Ina muda gan Sasa?.
Nauli ya kutoka Dar, kwenda kutibiwa huko ni yale yale tu ni heri niangalie hospitali ya huku hukuOk poa poa angalia ingawaje wale matibabu yao serikali imetia mkono sio gharama sana kama hapa Daslm..
Unatakiwa ununue upike au utengeneze, wakati mwingine vyakula vya kununua vilivyopikwa vina shida, si ajabu wakawa wamechanganya vumbi la jirani.Mazingira ninayoshinda hivi vyakula hawatengenezi
Kibong'oto hospital.Ipo maeneo gani?
Dah! Sasa huo muda wa kupika, huku mjini ni gharama itabidi nihamie kijijiniUnatakiwa ununue upike au utengeneze, wakati mwingine vyakula vya kununua vilivyopikwa vina shida, si ajabu wakawa wamechanganya vumbi la jirani.