Msaada kifua kisichopona

Msaada kifua kisichopona

Asante mkuu, jinsia yangu ni KE, Eneo ninaloishi ni Dar, kazi zinazohusisha kuwa karibu na vumbi kiasi.

Yaani hiki kifua iko hivi asubuhi nikiamka koo linakuwa linakwaruza nikikohoa natema makohozi, muda mwingine inaweza kwenda hiyo hali hadi mchana, sijui kama ntakuwa nimeelezea vizuri
Ukivuta pumzi kwa mdomo, kifua kinaunguruma?
 
Tiba na dawa mi hospitalini baada ya kufanya diagnosis na kujua sababu ni nini. Hapa utashauriwa dawa ambazo zinaweza kukuletea matatizo zaidi. Pia ugonjwa wako unaweza kuwa ni symptoms za jambo kubwa la kiafya kwako, na ukiendelea kuchelewa tatizo litakuwa kubwa.
Asante mkuu nitaenda hospitali
 
Asante mkuu, jinsia yangu ni KE, Eneo ninaloishi ni Dar, kazi zinazohusisha kuwa karibu na vumbi kiasi.

Yaani hiki kifua iko hivi asubuhi nikiamka koo linakuwa linakwaruza nikikohoa natema makohozi, muda mwingine inaweza kwenda hiyo hali hadi mchana, sijui kama ntakuwa nimeelezea vizuri
Mkuu mbona hujaelezea kifua?
Umeelezea Koo kuwasha na kukohoa

Huko Dasalama, ndo mnafundishwa hivo Koo kuwasha, useme kifua kinasumbua?.
 
Nenda hospital moja ipo Moshi ni mabingwa wa matatizo ya kifua niliwahi kumpeleka Mgonjwa hapo nishaisahau jina sema kuijua ni rahisi tu ukiwa tayari kwa hilo hao jamaa ndio wanawaangalia sana watu waliofanya kazi za kwenye migodi kwa muda mrefu na kupata matatizo ya kifua wapo vizuri sana.
 
Nenda hospital moja ipo Moshi ni mabingwa wa matatizo ya kifua niliwahi kumpeleka Mgonjwa hapo nishaisahau jina sema kuijua ni rahisi tu ukiwa tayari kwa hilo hao jamaa ndio wanawaangalia sana watu waliofanya kazi za kwenye migodi kwa muda mrefu na kupata matatizo ya kifua wapo vizuri sana.
Mimi nipo Dar mkuu
 
Nenda hospital moja ipo Moshi ni mabingwa wa matatizo ya kifua niliwahi kumpeleka Mgonjwa hapo nishaisahau jina sema kuijua ni rahisi tu ukiwa tayari kwa hilo hao jamaa ndio wanawaangalia sana watu waliofanya kazi za kwenye migodi kwa muda mrefu na kupata matatizo ya kifua wapo vizuri sana.
Ipo maeneo gani?
 
Back
Top Bottom