Msaada: Kanisa la TAG maeneo ya Lamadi, Simiyu

Msaada: Kanisa la TAG maeneo ya Lamadi, Simiyu

Kiraka Kikuu

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2011
Posts
5,903
Reaction score
1,983
Habari wakuu.

Nipo kwa muda hapa Lamadi wilaya ya Busega mkoa wa Simiyu.

Naomba msaada kwa anae fahamu location ya kanisa la TAG lililo maeneo ya Lamadi.

Natanguliza shukrani.
 
Kama umekosa kanisa ulizia msikiti zote ni nyumba ya ibada zama ndani kafanye ibada yako Kisha ondoka
 
Sasa mkuu suala la mahali lilipo kanisa ni hadi jf? Bahati nzuri uko sehemu husika bora hata umkodi bodaboda akupeleke
 
Back
Top Bottom