Msaada juu ya muda wa kumaliza mshindo mmoja

Msaada juu ya muda wa kumaliza mshindo mmoja

Unakuwaga unawaza nini wakati ukisex!!???? Unatakiwa usahau mawazo ya shida za magufuli ili akili iwe kwenye sex.....uwahi kufika mshindo
Thanks sumbai
 
Bro ngoja nkusaidie kitu, first of all mwanamke anaridhika ndani ya dakika 8 hadi 12 hizo zingine mbwembwe tu, but romance muhimu, lakini kusex kwa muda mrefu ni hatari kwa afya hasa kwa mwanaume, kusimamisha uume zaidi ya 45 minutes kunaweza kukuletea madhara katika misuli ya uume, misuli itawahi kuchoka, ndo maana ukisimamisha uume kwa mda mrefu uuma. So best way sex bao la kwanza kwa dk 15-20 more than apo mbwembwe tu
Nashukuru kaka kwa angalizo lako,, hili ndilo nalihofia pia nami,, kutoka moyoni for Real my God knows!!!! Naomba kusaidiwa means on how to atain a normal state!!!
 
La kwanza hwaga halina mbwembwe dk 10 had 15 hyo ni kawaid tena ni safi coz mnakua hamjachoka hta game ikarudiwa tena....
La pili ndan ya dk 40 pia ni sawa coz ikizidi hapo hata girl anakauka ute na ni mbaya kwan anaweza chubuka hatimaye asifurahie tendo...
Thnxxx
Truth,,, na hiyo ndio inayo sumbua akili
 
Unakuwaga unawaza nini wakati ukisex!!???? Unatakiwa usahau mawazo ya shida za magufuli ili akili iwe kwenye sex.....uwahi kufika mshindo
Nimecheka sana eti mawazo ya shida za Magufuli.
 
Back
Top Bottom