mapunda b
JF-Expert Member
- Feb 8, 2013
- 418
- 19
katika arakati za kuulizia online bei za galaxy s4,note 2 na 3 ambapo nliambiwa izo bidhaa zipo Egpty
bei ni
Note 3 cost $350, Note 2 cost $250 and the S4 cost $300
na nkaambiwa n freeshipping ad dar na naweza pata ndani ya siku mbili...
je iv ni kawaida kwa izo divice kupata kwa iyo bei? Pia vipi gharama za kuchukulia inakuaje kwani mimi ni mgeni na aya mambo..
Kuna kitu kilinitia wasiwasi kidogo,hasa nlipomwambia kua mi kwa saiv kwa galaxy note3 nina $200,akanijibu iv,"What if you send the $200 and we will deliver the item to you and as soon as you get it you will send us our balance"
nkajiuliza dah..!! iv wananiamini kwa kiasi gani..!??
Naomba wenye ufaham na aya mambo wanipe darasa kidogo kwani bado najipanga mambo yakikaa vizuri niagize mzigo
NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU.......
bei ni
Note 3 cost $350, Note 2 cost $250 and the S4 cost $300
na nkaambiwa n freeshipping ad dar na naweza pata ndani ya siku mbili...
je iv ni kawaida kwa izo divice kupata kwa iyo bei? Pia vipi gharama za kuchukulia inakuaje kwani mimi ni mgeni na aya mambo..
Kuna kitu kilinitia wasiwasi kidogo,hasa nlipomwambia kua mi kwa saiv kwa galaxy note3 nina $200,akanijibu iv,"What if you send the $200 and we will deliver the item to you and as soon as you get it you will send us our balance"
nkajiuliza dah..!! iv wananiamini kwa kiasi gani..!??
Naomba wenye ufaham na aya mambo wanipe darasa kidogo kwani bado najipanga mambo yakikaa vizuri niagize mzigo
NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU.......