Kabla ya kutafuta suluhu yeyote katika maisha yakupasa uwe na imani kwanza. Kama huna Imani hata wangeshuka Malaika ni kazi bure. Amini kwamba unayo haki ya kuwa na utulivu, Unayo haki ya kuota ndoto nzuri,Hutakiwi kuteseka tena kwa sababu Yesu wa Nazareti alilipia yote ili uwe huru, hivyo kama hujanwalika Yesu katika maisha yako, Mwite hata sasa anapatikana.