Jamani wanajamvi nahitaji msaada juu ya chuo kizuri kwa kusomea bachelor of procurement nchini tanzania...
Ningekushauri usome UDSM, lakini bahati mbaya hii course imesimamishwa kwani asilimia kubwa ya walimu wapo nje kimasomo. Asikudanganye mtu UDSM wanatoa degree ya materials management ambayo unaweza kufanya kazi mahali popote, ziwe NGO's au serikalini. Jaribu tu kusoma huko kwingine wanakokushauri ili uweze kuwa expert kwenye manunuzi ya serikali tu!Jamani wanajamvi nahitaji msaada juu ya chuo kizuri kwa kusomea bachelor of procurement nchini tanzania...
Elimu popote..asikutishe mtu,Nimepangiwa TIA,hapo vipi??
Jamani wanajamvi nahitaji msaada juu ya chuo kizuri kwa kusomea bachelor of procurement nchini tanzania...