Msaada: Jinsi ya kupata mchumba police

Msaada: Jinsi ya kupata mchumba police

CHIEF JJ

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2014
Posts
1,075
Reaction score
357
Kwema humu Jf,

Mimi ni wa kiume miaka 27 nataka kuwa na mchumba police ila nadhindwa kabisa kuwatongoza japo huwa nawatamani sana maana najuwa mambo yangu mengine yatapata solution.

Sasa nilikuwa naomba ni njia gani za kumtongoza police wa kike hadi akukubali uwe wake maana kuna mmoja nilimtongoza huwa namkuta barabarani akaniambia haiwezekani baada ya kumganda sana akasema ataniweka Central Police kama siku tatu hivi ili niache kumfuatilia.

Sasa nilikuwa naomba njia za kumtongoza hadi akubali kirahisi
 
Mbona rahisi.Fanya yafuatayo:Mfuate siku moja akiwa barabarani,Msalimie kisha mzibue bao la uso moja,Hajakaa sawa mtama hadi aanguke chini.Hapo watu watakuzingira na kukupiga kidogo.Utapelekwa polisi,ukiulizwa kwanini umempiga askari,Wewe sema unampenda lakini yeye hakupendi.Akisikia hivyo atakuonea huruma na mwisho kukukubalia.Wana huruma sana hao ila ni wagumu kumkubali MTU.Nasubiria mrejesho najua utanishukuru tu kwa ushauri na mbinu hii.
 
Mbona rahisi.Fanya yafuatayo:Mfuate siku moja akiwa barabarani,Msalimie kisha mzibue bao la uso moja,Hajakaa sawa mtama hadi aanguke chini.Hapo watu watakuzingira na kukupiga kidogo.Utapelekwa polisi,ukiulizwa kwanini umempiga askari,Wewe sema unampenda lakini yeye hakupendi.Akisikia hivyo atakuonea huruma na mwisho kukukubalia.Wana huruma sana hao ila ni wagumu kumkubali MTU.Nasubiria mrejesho najua utanishukuru tu kwa ushauri na mbinu hii.
mmmmhh mbinu yako hii ni nzuri ila kumzaba kibao police mzuri vile kazi kweli ila nashukuru tafanyia kazi ushauri hu
 
Taabu akikusweka rumande Ijumaa kutoka kwake hadi juma linalofuata....
 
Hao huchukuana wenyewe kwa wenyew(kama walimu vile?
So,jifanye nawe askar ila unafanya mkoani
 
kumbe tayari unalo jibu. Huyo huyo mfuatilie kwa speed kubwa zaidi ili akupeleke huko central ndiko wapo wengine wengi wazuri zaidi yake na wanatafuta mtu wa aina yako.
 
Zunguka vituo vyote vya polisi, utawapata.
 
Mbona rahisi.Fanya yafuatayo:Mfuate siku moja akiwa barabarani,Msalimie kisha mzibue bao la uso moja,Hajakaa sawa mtama hadi aanguke chini.Hapo watu watakuzingira na kukupiga kidogo.Utapelekwa polisi,ukiulizwa kwanini umempiga askari,Wewe sema unampenda lakini yeye hakupendi.Akisikia hivyo atakuonea huruma na mwisho kukukubalia.Wana huruma sana hao ila ni wagumu kumkubali MTU.Nasubiria mrejesho najua utanishukuru tu kwa ushauri na mbinu hii.

What if ni chakula cha mkuu wa kituo?
 
nenda kituoni anza kuchapa polisi makofi wote kisha watakufunga ndio ujenge nao mazoea HIYO NI NJIA RAHISI SANA......
 
Aisee Mimi kuna mwanajeshi mmoja namwonaga pale goms duh.. hatari ila najiuliza na magwanda yake Nitamwanzia wp?
 
we tongoza tuu ...tumia mbinu psychology..muulize anataka akuweke dani kwa sababu zipi hasa..hujui sheria au....mwambie angalia isije ikawa wewe ukainiga ndani badala ya mimi
 
Money talks,nenda police barracks ama bar za police wakati hawajapata mshahara ama posho kwenye tarehe 19 mpaka 20 hivi.Ila kaka ukifanikiwa ukaoa jiandae kwa kuwa police ameolewa na jeshi la polisi.Atatii amri za kijeshi kuliko za kwako nyumbani.Ukikomaa utanyea debe.Pia hakuna police wa kike anataka kuwa chini ya mume.Take it or leave it!!
 
Money talks,nenda police barracks ama bar za police wakati hawajapata mshahara ama posho kwenye tarehe 19 mpaka 20 hivi.Ila kaka ukifanikiwa ukaoa jiandae kwa kuwa police ameolewa na jeshi la polisi.Atatii amri za kijeshi kuliko za kwako nyumbani.Ukikomaa utanyea debe.Pia hakuna police wa kike anataka kuwa chini ya mume.Take it or leave it!!

kwanini asitiii ila hapo umenifunguwa kitu
 
Back
Top Bottom