Msaada, jinsi ya kuondoa whatsapp pop up advertise.

Carla

JF-Expert Member
Aug 4, 2012
398
331
Wadau naomba msaada wa jinsi ya kuondoa tangazo la whatsapp ambalo limekuwa likijitokeza mara kwa mara ninapowasha data kwenye simu yangu. Tangazo hili linaniambia nitumie version ya whatsapp wanayotumia wengine. Tangazo hili lina options mbili ambazo ni ku-cancel au "get it", mbaya zaidi hata ukili-download linaendelea ku-pop up na ukili-cancel bado linaendelea kurudia.
Tafadhali kama kuna mtu amenielewa na anaweza kunisaidia afanye hivyo.
 
huyo ni malware aina ya adware.

kumbuka kabla hajaanza uliweka nini kwenye simu yako, na hana mahusiano na whatsapp anafanya hivyo kama chambo tu uli ukiclick hayo matangazo na kukuekea apps usizozitaka ambazo kwa hali ya kawaida usingezidownload
 
huyo ni malware aina ya adware.

kumbuka kabla hajaanza uliweka nini kwenye simu yako, na hana mahusiano na whatsapp anafanya hivyo kama chambo tu uli ukiclick hayo matangazo na kukuekea apps usizozitaka ambazo kwa hali ya kawaida usingezidownload

Mkuu sikumbuki niliweka nini kabla hajaanza hizo fujo ila kama kuna namna ya kumuondoa naomba maelekezo tafadhali.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom