nerilan
JF-Expert Member
- Dec 11, 2013
- 469
- 713
Habari ya jioni wakuu.
Nina tatizo na nnahitaji utaalamu wenu. Kuna uwezekano wa kuifanya s4 yangu isiwe ina dim (kitendo cha mwanga kupungua) kabla ya kuzima?. Maana screen ikikaa bila kutumika kwa muda flan basi hujipunguza mwanga kisha screen kuzima.
Ninahitaji kudisable hali hiyo maana itanisaidia screen yangu iache kutetemeka mwanga pindi kioo kinapotaka kujizima.
Msaada please..
Nina tatizo na nnahitaji utaalamu wenu. Kuna uwezekano wa kuifanya s4 yangu isiwe ina dim (kitendo cha mwanga kupungua) kabla ya kuzima?. Maana screen ikikaa bila kutumika kwa muda flan basi hujipunguza mwanga kisha screen kuzima.
Ninahitaji kudisable hali hiyo maana itanisaidia screen yangu iache kutetemeka mwanga pindi kioo kinapotaka kujizima.
Msaada please..