Msaada jinsi ya kufunga dish la ZUKU

Kitaeleweka

JF-Expert Member
Jul 30, 2012
394
88
Habari wanajamii.
Nimenunua dish la zuku na kwenda kufunga kijijini kwetu kutokana na maelezo niliyopatiwa na wakalaila bado cjafanikiwa leo nipo mjini nimeambiwa maelezo hayakua sahihi na jamaa yangu kwani wakala aliniambia nielekeze dish WEST wakati linatakiwa kuwa EAST pembeni kushoto kidogo na dish kubwa za kawaida (fta) na KU waya uingilie kulia au kushoto tofauti na wakala alisema waya upitie chini kama dstv na KU aliyonipa ni twin universal akaniambia nifunge namba 1 kwa namba moja kwenye decoder na kama nikitumia namba 2 bac kote iwe hivyo.
Naomba msaada kwani cjarudi kijijini bado na kule hamna ntwk naomba maelekezo sahihi nisisumbuke tena.
Chaneli zilishawekwa tayari na alishauri nisearch kwa kutumia citizen tv.
Pia nikiingia kwenye manual installation strength na quality ziko 50% ila kwa rangi ya kijivu cjui kama kuna tatizo ama lah.
Msaada wenu pls.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Habari wanajamii.
Nimenunua dish la zuku na kwenda kufunga kijijini kwetu kutokana na maelezo niliyopatiwa na wakalaila bado cjafanikiwa leo nipo mjini nimeambiwa maelezo hayakua sahihi na jamaa yangu kwani wakala aliniambia nielekeze dish WEST wakati linatakiwa kuwa EAST pembeni kushoto kidogo na dish kubwa za kawaida (fta) na KU waya uingilie kulia au kushoto tofauti na wakala alisema waya upitie chini kama dstv na KU aliyonipa ni twin universal akaniambia nifunge namba 1 kwa namba moja kwenye decoder na kama nikitumia namba 2 bac kote iwe hivyo.
Naomba msaada kwani cjarudi kijijini bado na kule hamna ntwk naomba maelekezo sahihi nisisumbuke tena.
Chaneli zilishawekwa tayari na alishauri nisearch kwa kutumia citizen tv.
Pia nikiingia kwenye manual installation strength na quality ziko 50% ila kwa rangi ya kijivu cjui kama kuna tatizo ama lah.
Msaada wenu pls.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

zuku kwa sasa hata dish lako likiangalia magharibi unaipata wako seteliti ya SES 5 @ 5e jaribu kuweka kwenye muinuko wa nyuzi 51' na waya wako uwe upande wa kushoto ukiwa mbele ya dish lako.
 
zuku kwa sasa hata dish lako likiangalia magharibi unaipata wako seteliti ya SES 5 @ 5e jaribu kuweka kwenye muinuko wa nyuzi 51' na waya wako uwe upande wa kushoto ukiwa mbele ya dish lako.

Asante mkuu ntafanya hivyo nadhani ilikua hapo kwenye waya ndo ilikua shida na jee vipi kuhusu hizo strength na quality kuonesha 50% kwa rangi ya gray ni normal?

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Kama unatafuta kwa kutumia upande wa East na inakuchanganya tumia Receiver nyingine alfu tumia frequence kama unatafuta Kbc utakapoipata ndo hapohapo. Na pale ulipopata signal rangi ya kijivu bado hazijakamata zikikamata zinabadilika rangi zinakuwa kijani. Ukishindwa tumia maelezo ya awali kama nlivokueleza hapo juu. Ila kama itakushinda tafuta fundi.
 
Habari wanajamii.
Nimenunua dish la zuku na kwenda kufunga kijijini kwetu kutokana na maelezo niliyopatiwa na wakalaila bado cjafanikiwa leo nipo mjini nimeambiwa maelezo hayakua sahihi na jamaa yangu kwani wakala aliniambia nielekeze dish WEST wakati linatakiwa kuwa EAST pembeni kushoto kidogo na dish kubwa za kawaida (fta) na KU waya uingilie kulia au kushoto tofauti na wakala alisema waya upitie chini kama dstv na KU aliyonipa ni twin universal akaniambia nifunge namba 1 kwa namba moja kwenye decoder na kama nikitumia namba 2 bac kote iwe hivyo.
Naomba msaada kwani cjarudi kijijini bado na kule hamna ntwk naomba maelekezo sahihi nisisumbuke tena.
Chaneli zilishawekwa tayari na alishauri nisearch kwa kutumia citizen tv.
Pia nikiingia kwenye manual installation strength na quality ziko 50% ila kwa rangi ya kijivu cjui kama kuna tatizo ama lah.
Msaada wenu pls.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

Ni PM tuongee kiufundi
 
Back
Top Bottom