MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,512
- 15,094
Maybe..Duuh kumbe AEA hawamo!, ila hata kama cheap labor ila kibongo bongo ukishavuka maji kuna satisfaction flani utakua umeipata
.. Maybe yes maybe not Jua kule wanajitegemea kila kitu
Maybe..Duuh kumbe AEA hawamo!, ila hata kama cheap labor ila kibongo bongo ukishavuka maji kuna satisfaction flani utakua umeipata
.. Maybe yes maybe not Duh ngoja tujaribu.wachache sana ndugu wewe nenda kajaribu uone subiri wafungue uende kwenye faculty yako kwa dean of student umuembie aanze kukupa process zake