Msaada jinsi ya kubadili course SUA

Nimechaguliwa BCS of education SUA nina two ya 11 nimesoma PCB yaani nimepata Chem C Bios C na Phy E nilikuwa nauliza je na weza badilisha course na niende BVM?

Na kama na weza njia zipi nizifanye za haraka kwa muda huu maana nimechaguliwa pia Diploma ya Clinical Medicine asante sanaa
Unaijua BVM? au unataka nini huko?

Wakati naingia BVM 2009 kilichokuwa kinazingatiwa ni ufaulu, lakini pia idadi ya wanafunzi wa BVM iko limited.

Kwa hiyo kama uliichagua lakini hujapelekwa huko utakuwa umeelewa. Uko na point 11 za PCB, kuna wenzako wanaingia huko vet wakiwa na 5,6,7 & 9.

Anyways, kama muda wa kubadili bado upo, andika tu barua peleka ofisi za admissions hapo main campus, au nenda kwanza uwaone wakwambie cha kufanya.

NB; Hiyo education ni rahisi kujiajiri kuliko BVM. kila la heri


~Jodeo~
 
Its possible mm mwenyewe nilikua nataka kuhama course ya BVM kwenda BLS but kinachosumbua ni kua kuhamisha loarn kwenda course nyingine ndio shughuli but kama utaweza kujisomesha its possible
 
Unaijua BVM? au unataka nini huko?

Wakati naingia BVM 2009 kilichokuwa kinazingatiwa ni ufaulu, lakini pia idadi ya wanafunzi wa BVM iko limited.

Kwa hiyo kama uliichagua lakini hujapelekwa huko utakuwa umeelewa. Uko na point 11 za PCB, kuna wenzako wanaingia huko vet wakiwa na 5,6,7 & 9.

Anyways, kama muda wa kubadili bado upo, andika tu barua peleka ofisi za admissions hapo main campus, au nenda kwanza uwaone wakwambie cha kufanya.

NB; Hiyo education ni rahisi kujiajiri kuliko BVM. kila la heri


~Jodeo~
Asante nduguu
 
Its possible mm mwenyewe nilikua nataka kuhama course ya BVM kwenda BLS but kinachosumbua ni kua kuhamisha loarn kwenda course nyingine ndio shughuli but kama utaweza kujisomesha its possible
ASANTE TATIZO CYO KUJISOMESHA YAANI NINGEKUWA NA UWAKIKA TU NINGE ENDA MM
 
Nimechaguliwa BCS of education SUA nina two ya 11 nimesoma PCB yaani nimepata Chem C Bios C na Phy E nilikuwa nauliza je na weza badilisha course na niende BVM?

Na kama na weza njia zipi nizifanye za haraka kwa muda huu maana nimechaguliwa pia Diploma ya Clinical Medicine asante sanaa
Ina wezekana nenda chuoni FASTER jaza fomu ya kubadili course.

UALIMU MSHAHARA MDOGO KAZI NYINGI, MALUPU LUPU HAKUNA,
KUSOMA NJE NI NDOTO.

ila kwa hiyo BVM hauta kawia kutoboa LIFE.
 
Mnapoteza mda na nguvu kudiscuss ukweli ni huu

Huwez kwenda bvm kwa hzo point zako badili nyengine kama fst, hnu, age,agm,wlm nakadhalika

Ni ngumu kubadili kozi kutoka mazimbu kwenda Main unaweza ukasoma
Environmental science
Agribusiness
Ndo nzur zpo mazimbu ni rahis kubadilisha hukohuko

Maneno yangu si sharia unaweza jaribu pengine waweza fanikisha
 
Mnapoteza mda na nguvu kudiscuss ukweli ni huu

Huwez kwenda bvm kwa hzo point zako badili nyengine kama fst, hnu, age,agm,wlm nakadhalika

Ni ngumu kubadili kozi kutoka mazimbu kwenda Main unaweza ukasoma
Environmental science
Agribusiness
Ndo nzur zpo mazimbu ni rahis kubadilisha hukohuko

Maneno yangu si sharia unaweza jaribu pengine waweza fanikisha
Kumbe kuhama campus n noma me nataka niamie general.
 
Ni chuo kimoja sawa Ila tofaut yake Ni main cumpus na mazimbu cumpus..
Ni sawa na mtu aliechaguliwa duce harafu akataka kuhamia main cumpus (UDISM) huwa ni ngumu mno na nimeshuhudia changamoto zilizowapata wanafunzi waliokuwa na uhitaji huo wakiwemo rafik zangu.
Onother proof Kuna school mates wangu wawili walichaguliwa ualimu wa Geography na mathematics mazimbu cumpus wakataka kuhamia irrigation and water resources Engineering main cumpus but ikashindikana.. ko haya mambo mkuu ninavyoongea Nina uzoefu nayo huko nilishapita na Najua ninachokwambia.. Ni Bora kujipanga kwa kuja kutatua hizo changamoto kuliko kujiaminisha kuwa inawezekana kirahis then ukaja kufel
mkuu mbona tunasikia wengi tu wanahamiaga main camp hata kutoka vyuo vingine ugumu unaosema unatokea wapi Wakati ni chuo kimoja
 
Ni chuo kimoja sawa Ila tofaut yake Ni main cumpus na mazimbu cumpus..
Ni sawa na mtu aliechaguliwa duce harafu akataka kuhamia main cumpus (UDISM) huwa ni ngumu mno na nimeshuhudia changamoto zilizowapata wanafunzi waliokuwa na uhitaji huo wakiwemo rafik zangu.
Onother proof Kuna school mates wangu wawili walichaguliwa ualimu wa Geography na mathematics mazimbu cumpus wakataka kuhamia irrigation and water resources Engineering main cumpus but ikashindikana.. ko haya mambo mkuu ninavyoongea Nina uzoefu nayo huko nilishapita na Najua ninachokwambia.. Ni Bora kujipanga kwa kuja kutatua hizo changamoto kuliko kujiaminisha kuwa inawezekana kirahis then ukaja kufel
Siku hz naskia wamelegeza kamba cha msingi uwe na marks nzur
 
Siku hz naskia wamelegeza kamba cha msingi uwe na marks nzur
Mkuu Mimi Nina div 2 ya 10 cbg
Chem-C,geo-C,bio-D,Bam-s,g.s-E
For agriculture general nakidhi maana nimechaguliwa aea nahisi itanisumbua coz cna msingi mzuri wa uchumi na pure
 
Inawezekana
Halafu Nani kakwambia ukiwa na msingi mbaya wa hesabu huku unazingua?


Mfano mdogo nina muhun wangu
O-level basic mathematics F
A-level Bam F


Lakin mth za huku alikuwa akizitundua kwelikweli na si yeye peke yake
In short huku wote mnaanza upya masomo mengi hayahusiani na nyuma div 2 yako unaiacha getini

Note :mth 106, mth 102 mtazikuta huku kila kozi huyo ni core lazima usome

Mimi na pgm yangu pale agriculture engineering nilipata sup ya mth 106 pamoja utabe wangu wa hesabu

Hv vitu havina formula
Mkuu Mimi Nina div 2 ya 10 cbg
Chem-C,geo-C,bio-D,Bam-s,g.s-E
For agriculture general nakidhi maana nimechaguliwa aea nahisi itanisumbua coz cna msingi mzuri wa uchumi na pure
 
Mkuu mbona unaiabisha Ivo pgm aisee Yan umesoma pgm harufu unashindwa kufaul mth106 yenye topic mbili tu yani statistics na probability? Sema labda kama ulikuwa unashinda downtown club ndo maana ulifel lkn Kama ulikuwa serious huwez kufel mth106 Kama ulisoma pure mathematics.. Ila kwa Ambaye hajapitia hizo topics mbili inahitaji kutumia nguvu nyingi Sana ili kuifaulu hiyo course.. cjawahi kufel course yeyote ya MTH kwasabab ya msingi wa pure niliotoka nao advance...
Inawezekana
Halafu Nani kakwambia ukiwa na msingi mbaya wa hesabu huku unazingua?


Mfano mdogo nina muhun wangu
O-level basic mathematics F
A-level Bam F


Lakin mth za huku alikuwa akizitundua kwelikweli na si yeye peke yake
In short huku wote mnaanza upya masomo mengi hayahusiani na nyuma div 2 yako unaiacha getini

Note :mth 106, mth 102 mtazikuta huku kila kozi huyo ni core lazima usome

Mimi na pgm yangu pale agriculture engineering nilipata sup ya mth 106 pamoja utabe wangu wa hesabu

Hv vitu havina formula
 
Mkuu mbona unaiabisha Ivo pgm aisee Yan umesoma pgm harufu unashindwa kufaul mth106 yenye topic mbili tu yani statistics na probability? Sema labda kama ulikuwa unashinda downtown club ndo maana ulifel lkn Kama ulikuwa serious huwez kufel mth106 Kama ulisoma pure mathematics.. Ila kwa Ambaye hajapitia hizo topics mbili inahitaji kutumia nguvu nyingi Sana ili kuifaulu hiyo course.. cjawahi kufel course yeyote ya MTH kwasabab ya msingi wa pure niliotoka nao advance...
Naiaibisha pgm wapi mkuu kuna kuteleza ndugu kama tcha wangu tu wa basic mathematics o level alishikwa mth 106 alikua akichukua education in geography and mathematics na tulikuwepo nae mazimbu tunasapua sembuse Mimi

Hakuna cha msingi wala nini kule wote mnaanza and yes msingi ni muhimu na unasaidia lakin haimaanish kama umezingua chini ndo huwezi


Na pia ndio downtown, zebra.,vybe, samakisamaki bila kusahau kahumba na Moro night nilikuwa nashinda Ila huko sio sababu ya kufeli ni akili yako tu
 
Msisahau na AEA106 Inakula sana vichwa nayo mazimbu uko, ila we nenda AEA ukipiga fresh naskiaga wanapelekwa Israel japo sina uhakika sana
 
Msisahau na AEA106 Inakula sana vichwa nayo mazimbu uko, ila we nenda AEA ukipiga fresh naskiaga wanapelekwa Israel japo sina uhakika sana
Hao ni agriculture general wanaenda kuwa cheap labour huko Hakuna faida Kama unavyofikiria
 
Back
Top Bottom