Msaada,jinsi gani ya kuona devices zote zinazotumia wireless yangu..

Skillseeker

JF-Expert Member
Jan 30, 2012
225
34
Habari zenu wanaJF,
Naomba kujua jinsi gani naweza kuona all the devices zinazotumia wireless yangu ya nyumbani na jinsi ya kuweza kucontrol wireless ili kama kuna any device ambayo inatumia network yangu na mimi siijui then niweze kublock isipate kutumia hii wireless pamoja na kuweza kumonitor bandwidth katika devices zangu..

Pia, kama mtu anajua jinsi ya kuweza kutumia wireless ya mtu hata kama inapassword naomba anipe soma..nahisi nikiweza kujua jinsi mtu anavyoweza kutumia wireless yangu hata ingawa nimeweka password ndefu na strong basi naweza jua jinsi ya kumkamata au kumzuia asitumie.

What i'm asking ni kuelimishwa.
Natanguliza shukrani...
 
mara nyingi router huonyesha devices ambazo zimekuwa connected through cable na si wi-fi hivyo ili kujikinga na wezi wako jaribu kubadili password kila mara au kutumia strong password, kumbuka pia kama kuna jamaa yako umemuunganishia basi pc or portable device yake itaweza kukumbuka password hadi hapo utakapo change. Zipo utility software zinazoweza kung'amua encrypted key ila baada ya kuwa pc imeshakuwa connected via wireless na hii ni kwa wale wana -tekinolojia, mwisho unaweza gundua idadi ya devices zilizo connected kwa kutumia ipscan utility na hizi zinapatikana ktk mitandao (tumia google)
 
Ingia kwenye settings za Wifi router yako, hakikisha kwenye encryption umeweka WPA2 (AES) na unatumia password random ndefu pia hakikisha unaipa router yako jina usitumie lile lililokuja nalo i.e Linksy. Hiyo inatosha kabisa kukulinda. Pia router yako kuna sehemu itakuwa inaonyesha clients zilizokuwa connected.

Hakuna practical way ya kuhack WPA2 ukifanya hayo yaliyotajwa hapo juu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom