Tutor B
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 9,025
- 6,554
Aliwahi kuolewa kwenye familia ya waarabu akaachika kwasababu hazai. Nilipokutana naye kwa mara ya kwanza ukweli huo hakunieleza.Niliendelea naye hadi akapata ujauzitona kujifungua mtoto wa kiume ambayeanapendeka sana ujombani kwao. (Usiulizeni kwa nini sijampeleka nyumbani kwetu)
Tatizo: Anadai siku hizi akilala bila kupata hata bia mbilindoto zake ni kuwaota waarabu akiwa nao sehemu ambayo hajui.
Jingine: Ikitokea nikatoka naye out hata pesa ningeilindavipi inapotea. Na yeye hana tabia ya udokozi. Nifanyeje, kuna aliyewahikukutana na tatizo la namna hii? Nisaidieni ushauri.
Aliwahi kuolewa kwenye familia ya waarabu akaachika kwa sababu hazai. Nilipokutana naye kwa mara ya kwanza ukweli huo hakunieleza. Niliendelea naye hadi akapata ujauzito na kujifungua mtoto wa kiume ambaye anapendeka sana ujombani kwao. (Usiulize ni kwa nini sijampeleka nyumbani kwetu)
Tatizo: Anadai siku hizi akilala bila kupata hata bia mbili ndoto zake ni kuwaota waarabu akiwa nao sehemu ambayo hajui.
Jingine: Ikitokea nikatoka naye out hata pesa ningeilinda vipi inapotea. Na yeye hana tabia ya udokozi. Nifanyeje, kuna aliyewahi kukutana na tatizo la namna hii? Nisaidieni ushauri.
Tatizo: Anadai siku hizi akilala bila kupata hata bia mbilindoto zake ni kuwaota waarabu akiwa nao sehemu ambayo hajui.
Jingine: Ikitokea nikatoka naye out hata pesa ningeilindavipi inapotea. Na yeye hana tabia ya udokozi. Nifanyeje, kuna aliyewahikukutana na tatizo la namna hii? Nisaidieni ushauri.
Aliwahi kuolewa kwenye familia ya waarabu akaachika kwa sababu hazai. Nilipokutana naye kwa mara ya kwanza ukweli huo hakunieleza. Niliendelea naye hadi akapata ujauzito na kujifungua mtoto wa kiume ambaye anapendeka sana ujombani kwao. (Usiulize ni kwa nini sijampeleka nyumbani kwetu)
Tatizo: Anadai siku hizi akilala bila kupata hata bia mbili ndoto zake ni kuwaota waarabu akiwa nao sehemu ambayo hajui.
Jingine: Ikitokea nikatoka naye out hata pesa ningeilinda vipi inapotea. Na yeye hana tabia ya udokozi. Nifanyeje, kuna aliyewahi kukutana na tatizo la namna hii? Nisaidieni ushauri.