Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,628
Nina ndugu yangu ni mama ameolewa miaka mitano ilopita ana watoto watatu.
Aliwahi gombana na familia iliyotulea mmoja wa memba akamshambulia kama anapiga mwizi akaondoka nyumbani.
Aliishi vizuri miaka ya mwanzo na akapata kazi na kujitegemea. Lakini miezi michache tangu alipotangaza ana mchumba anatarajia kuolewa maisha yakabadilika kila siku mi matukio, mauzauza.
Mama mkwe (sio mama wa kumzaa mume, mlezi tu) akawa hamtaki. Kijana wake akawa anamwambia niambie kwanini humtaki mchumbangu, mama hana sababu.
Baadae sista angu akagundua ma mkwe mshirikina, akilala usiku anamuota anamkimbiza. Akienda kumsalimia ukweni anamuonesha chuki kali.
Tukija huku upande tuliolelewa nako wanamchukia vibaya ndoa yake pia walikuwa wanaipinga wanatuma watu wamwambie mume usimuoe hazai huyo but mume ni muelewa anawafukuzia mbali.
Akolewa wakasusa kuja, alivopata mimba akawa kila akilala anaota hawa ndugu wanamkimbiza wanampiga mateke tumboni.
Ni mengi kapitia mpaka akajifungua.
.....Nafupisha....
Bado mauzauza hayaishi, anaumwa kichwa muda wote analia hajielewi kabisa.
Kila nyumba atayopanga ni mauzauza mara akitoka anaona nyoka, akirudi ndani hayupo. Mara bundi analia usiku kucha. Mara mbuzi analia usiku. Mara wanajikuta asubuhu wamelala sebulenu sakafuni ye mume na watoto.
Kwa ufupi wamehangaika sana.
mahospitali makubwa, kafanyiwa kila kipimo hakuna tatuzo. Kaita mashehe hamna nafuu. Kaita wachungaji pia. Kahundhuria makanisa kibao na kuombewa inakuja nafuu kwa muda tu then yanarudi.
Sasa hivi anadai hawezi kukaa sehemu, muda wote anahangaika tu hata akiwa ndani. Mara anatoka anaenda barabarani kama anajihisi kufa. Anasema ana hofu.
Pia akiwaangalia watoto ni wadogo anapagawa. Hana shida ya pesa anaishi vizuri.
WanaJF nisaidieni hasa huyu atakuwa na nini na suluhisho ni nini? Kama unajua niambie.
Amepitia mengi mno mazito. Wazaz hatuna, ndugu wanafiki.
Anadai kipindu anapigwa walimnyofoa nywele wakazichukua ndio maana hivi sababy wakati anapigwa alivamiwa ghafla hakuweza kujihami. Alianguka, aliyekuwa anampiga akawa anamburuta kwa kumvuta nywele anamparua makucha na kumpiga hovyo.
Naombeni msaada nimsaidie ndugu yangu.
Aliwahi gombana na familia iliyotulea mmoja wa memba akamshambulia kama anapiga mwizi akaondoka nyumbani.
Aliishi vizuri miaka ya mwanzo na akapata kazi na kujitegemea. Lakini miezi michache tangu alipotangaza ana mchumba anatarajia kuolewa maisha yakabadilika kila siku mi matukio, mauzauza.
Mama mkwe (sio mama wa kumzaa mume, mlezi tu) akawa hamtaki. Kijana wake akawa anamwambia niambie kwanini humtaki mchumbangu, mama hana sababu.
Baadae sista angu akagundua ma mkwe mshirikina, akilala usiku anamuota anamkimbiza. Akienda kumsalimia ukweni anamuonesha chuki kali.
Tukija huku upande tuliolelewa nako wanamchukia vibaya ndoa yake pia walikuwa wanaipinga wanatuma watu wamwambie mume usimuoe hazai huyo but mume ni muelewa anawafukuzia mbali.
Akolewa wakasusa kuja, alivopata mimba akawa kila akilala anaota hawa ndugu wanamkimbiza wanampiga mateke tumboni.
Ni mengi kapitia mpaka akajifungua.
.....Nafupisha....
Bado mauzauza hayaishi, anaumwa kichwa muda wote analia hajielewi kabisa.
Kila nyumba atayopanga ni mauzauza mara akitoka anaona nyoka, akirudi ndani hayupo. Mara bundi analia usiku kucha. Mara mbuzi analia usiku. Mara wanajikuta asubuhu wamelala sebulenu sakafuni ye mume na watoto.
Kwa ufupi wamehangaika sana.
mahospitali makubwa, kafanyiwa kila kipimo hakuna tatuzo. Kaita mashehe hamna nafuu. Kaita wachungaji pia. Kahundhuria makanisa kibao na kuombewa inakuja nafuu kwa muda tu then yanarudi.
Sasa hivi anadai hawezi kukaa sehemu, muda wote anahangaika tu hata akiwa ndani. Mara anatoka anaenda barabarani kama anajihisi kufa. Anasema ana hofu.
Pia akiwaangalia watoto ni wadogo anapagawa. Hana shida ya pesa anaishi vizuri.
WanaJF nisaidieni hasa huyu atakuwa na nini na suluhisho ni nini? Kama unajua niambie.
Amepitia mengi mno mazito. Wazaz hatuna, ndugu wanafiki.
Anadai kipindu anapigwa walimnyofoa nywele wakazichukua ndio maana hivi sababy wakati anapigwa alivamiwa ghafla hakuweza kujihami. Alianguka, aliyekuwa anampiga akawa anamburuta kwa kumvuta nywele anamparua makucha na kumpiga hovyo.
Naombeni msaada nimsaidie ndugu yangu.