mbweta
JF-Expert Member
- Dec 10, 2010
- 600
- 81
Nina rafiki zang walizaliwa mapacha wana asili ya kihindi. Inasemekana mama yao alikuwa na huusiano na mhindi m1 ambaye ni tajiri tu. Lakin kutokana na wahindi hawaruhusiwi kuzaa nnje ivo kuogopa kutengwa na wahindi wenzie akaingia mkataba na yule mama akampatia pesa kias hakikujulikana ila wasijuane tena. Yule mama aliwaonesha watoto wake zile pesa walikuwa wanaish chumba kimoja. Siku si nying wakafwatwa shule wakiwa darasa3 waakimbiwa mama kafariki ile kuwah nyumban wakakuta chumba cheupe na pale pesa zilipokuwa ndo wanadeki. Tang hapo walichulia na rafiki wa mama yao na shida kuweka kambi rasmi kwao. Wao walioneshwa baba yao siku akiwa kamsindikiza rafiki yake akiwa hana hata mia alimwona baba na Rambo la ela. Kifupi mzee hawajuh alijitolea ada tu ya secondary st Goverment(sh F80). Je waweza kumshtaki au ndo ule mkataba unawabana?