Habari za wakati huu, niende kwenye Mada ninaishi na mmiliki wa nyumba mmakonde hajui kuzungumza lugha ya watanzania kila wakati anazima taa usiku. Tumeshindwa kuelewana lugha ya kiswahili na kingereza,
Naomba mwenye kujua lugha KIFARANSA, KIRENO na KIMAKONDE anisaidie neno USIZIME TAA kwa lugha zilizo tajwa hapo juu
Nawasilisha
Naomba mwenye kujua lugha KIFARANSA, KIRENO na KIMAKONDE anisaidie neno USIZIME TAA kwa lugha zilizo tajwa hapo juu
Nawasilisha