kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,000
- 17,909
Hivi Msumbiji na Comoro si waachane na Kireno na kifaransa tu?
Kuna nchi nyingine ni za hovyo kweli?Hivi hao Wasumbiji kwanini wasiachane na kireno?Ureno yenyewe wapo hoi sikuhizi kingereza ndo lugha inafanya vyema ureno kuliko hata lugha yao
Lakini msumbiji wanaendelea kuwa nchi ya hovyo kwa kung'ang'ana na kireno
Wangefanya kingereza na kiswahili kiwe lugha kuu ya taifa waachane na huo ujinga unaoitwa kireno hivi jamani kireno kitakupeleka wapi tuseme ile kweli
Tumeshindwa kuchanganyika na kufanya maingiliano sana na wamsumbiji kwasababu ya kireno chao, lakini angalia tulivyo na maingiliano na rwanda, kenya,burundi, uganda kwasababu wanaongea lugha zinazoeleweka hawa watu wa msumbiji na.Comoro tunashindwa kwasababu ya malugha yao ya hovyo
Ukija.Comoro hawa ndo tulipaswa tuwe nao kabisa tena ikiwezekana tuungane nao na kuwavuta kama tulivyovuta ZANZIBAR kwanza tunafanana nao sana ila uchawi ni hicho kifaransa chao...wakati wenzao wanakimbilia kwenye kingereza na kukiacha kifaransa kama walivyofanya Rwanda na nchi nyingine wao wanazidi kujikomaza na hicho kifaransa chao.....Lugha ni kingereza tu bhana hizo nyingine kifaransa, kireno, kijerumani sijui kispaniola ni lugha za ajabu tu nashangaa mnaopoteza muda kujifunza hizo lugha sioni faida kwakweli bora ujifunze kichina kitakusaidia sio hizo lugha za hovyo
Kuna nchi nyingine ni za hovyo kweli?Hivi hao Wasumbiji kwanini wasiachane na kireno?Ureno yenyewe wapo hoi sikuhizi kingereza ndo lugha inafanya vyema ureno kuliko hata lugha yao
Lakini msumbiji wanaendelea kuwa nchi ya hovyo kwa kung'ang'ana na kireno
Wangefanya kingereza na kiswahili kiwe lugha kuu ya taifa waachane na huo ujinga unaoitwa kireno hivi jamani kireno kitakupeleka wapi tuseme ile kweli
Tumeshindwa kuchanganyika na kufanya maingiliano sana na wamsumbiji kwasababu ya kireno chao, lakini angalia tulivyo na maingiliano na rwanda, kenya,burundi, uganda kwasababu wanaongea lugha zinazoeleweka hawa watu wa msumbiji na.Comoro tunashindwa kwasababu ya malugha yao ya hovyo
Ukija.Comoro hawa ndo tulipaswa tuwe nao kabisa tena ikiwezekana tuungane nao na kuwavuta kama tulivyovuta ZANZIBAR kwanza tunafanana nao sana ila uchawi ni hicho kifaransa chao...wakati wenzao wanakimbilia kwenye kingereza na kukiacha kifaransa kama walivyofanya Rwanda na nchi nyingine wao wanazidi kujikomaza na hicho kifaransa chao.....Lugha ni kingereza tu bhana hizo nyingine kifaransa, kireno, kijerumani sijui kispaniola ni lugha za ajabu tu nashangaa mnaopoteza muda kujifunza hizo lugha sioni faida kwakweli bora ujifunze kichina kitakusaidia sio hizo lugha za hovyo