Msaada jamani sijamwelewa wife leo!!

Hivi mkwe ukikomaa na mtu si anaahirisha tu? Unadhani ataacha? Kujitia stress tu aisee.siku hizi na simu mtu anapokea yuko kwenye kinena cha mwingine, sauti ya chiniii 'niko kikaoni nakupigia in 30mins', anakata kabla haujajibu.

Serious note King'ast! Kwa mtindo huu hakitasalia jiwe juu ya jiwe.
 
Tumeaka mornie tukazindua siku (si boxing day leo?). Tulipomaliza nikaenda zangu sitting room, nikarudi ghafla chumbani baada ya nusu saa nikamkuta ana-shave.(tume-do kabla hajashave). Nikashangaa shangaa pale nikarudi sebuleni. Baada ya mida akiwa ametoka kuoga anavaa nikaibuka tena bedroom nikam-hug nimchumu. Suprise ya mwaka nikafeel shanga!!!! AMENYOA NA AMEVAA SHANGA??? Ambazo hajavaa nusu mwaka sasa, wakati anajua mi zinanipagawishaga. Na eti anaenda kufunga mzigo kariakoo!! Nimwambia tunaenda wote. Kaahirisha kwenda halafu kawa mpole. Hivi hapa tupo wote dukani, najiuliza ndio nini hii?? Nimuulize anamaanisha nini??

Alikula vya watu lazima avirudishe sasa weee vp presha presha ya nn
 
Baby jamani ndio umekuja kunianika huku? Nilikuwa nakuandalia wewe tu honey wangu, hakuna mwingine zaidi yako, enjoy peke yako! lol!
 
Msivunje ndoa ya mwenzenu,Huyo mkeo kafundwa huyo hizo ni mbinu tu za kukuweka sawa na Amekupima tu mapenzi yako yako levo gani? c hapo mko wote nyumbani hiyo ndio burudani kwake!

Mdanganye mwenzio....Shtuka jembe kuna kiwavi jeshi kwenye ndoa yako.
 
Ukiona manyoya kaka..............ila kaka kizuri unakula na wenzio! Kama vp tembelea ule mtandao wa vijana pia pitia maeneo ya kigoma hasa pale UVINZA
 
Actually kama alikuwa ananitest basi majibu niliyopata jf Leo yamemponza. Ntakamua leo mpaka mmoja wetu afaint!!!!
Ww leo kula mzigo na hizo shanga zake asivue, mpaka aseme kikwao maana alikuwa anakudharau isimamie kwa vidole km unaendesha baiskel Phoenix ya mchina.
Huku kwetu kuna nyumba za tembe, sasa ngozi /lalio lazima kwa nyuma unagotesha na nguzo ya nyumba (tendego) hapo ndipo unapoisimamia (Push-up/dowm) ndipo atatambua wewe ni Dume la mbegu na haijalishi km ni 5" au 8"
huo ndio muziki sauti kubwa
 
kwa hiyo iliishaje hadi leo? ila huenda alitaka kuku-suprise ila umefanya haraka, give us the feedback, ulihisi kitu chochote kibaya kimefanyika?
 
Tumeaka mornie tukazindua siku (si boxing day leo?). Tulipomaliza nikaenda zangu sitting room, nikarudi ghafla chumbani baada ya nusu saa nikamkuta ana-shave.(tume-do kabla hajashave). Nikashangaa shangaa pale nikarudi sebuleni. Baada ya mida akiwa ametoka kuoga anavaa nikaibuka tena bedroom nikam-hug nimchumu. Suprise ya mwaka nikafeel shanga!!!! AMENYOA NA AMEVAA SHANGA??? Ambazo hajavaa nusu mwaka sasa, wakati anajua mi zinanipagawishaga. Na eti anaenda kufunga mzigo kariakoo!! Nimwambia tunaenda wote. Kaahirisha kwenda halafu kawa mpole. Hivi hapa tupo wote dukani, najiuliza ndio nini hii?? Nimuulize anamaanisha nini??
Hayatuhusu. This is your private life.
 
Ila watu mna moyo! Mtu unawezaje kujieleza masuala yako ya ndani/chumbani kwa ulimwengu mzima? Hata kama tunatumia majina bandia na hatufahamiani physically mambo mengine naona ni aibu kuyaanika kiasi hiki. Ona sasa kila mtu anakupa tafsiri yake badala ya kusaidiwa unazidishiwa pressure!
 
Back
Top Bottom