Ila watu mna moyo! Mtu unawezaje kujieleza masuala yako ya ndani/chumbani kwa ulimwengu mzima? Hata kama tunatumia majina bandia na hatufahamiani physically mambo mengine naona ni aibu kuyaanika kiasi hiki. Ona sasa kila mtu anakupa tafsiri yake badala ya kusaidiwa unazidishiwa pressure!
Mbona wake za watu wanamegwa hivi siku hizi? Ni nini hiki
Huyo mshikaji ni wa kike au wa kiume?
Anaenda kupeleka zawadi ikafunguliwe leo boxing day ndio maana kaipamba na shanga.
sumu huwa haijaribiwiaahhh ili kupata ushaidi mruhusu then fanya uchunguzi mtambuka na talaka mkononi......
hayo ndo mawazo chanya na hasi, hapo anapata free or idea!!! Ila maada hii imekuwa nzuri maana nimecheka sana
kwa hiyo iliishaje hadi leo? ila huenda alitaka kuku-suprise ila umefanya haraka, give us the feedback, ulihisi kitu chochote kibaya kimefanyika?
Yaani kilichotokea ni sooo! Nilikomaa naye mpaka jioni. Usiku nikaisimamia ile mbaya nae akatoa ushirikiano wa kutosha. Lakini alivyoona nafanyia sifa (actually alichubuka kimtindo) akaomba half-time. Game ilipoisha nikamuuliza kwa nini alifanya vile asubuhi (kunyoa na shanga) akaniambia alikuwa anataka tuendelee alishindwa kuniambia.
Basi maisha yanaendelea, but nimepata adhabu kwa sababu bado ana maumivu ya juzi hatuja-do tena mpaka leo. Ila naendelea na uchunguzi.
Tumeaka mornie tukazindua siku (si boxing day leo?). Tulipomaliza nikaenda zangu sitting room, nikarudi ghafla chumbani baada ya nusu saa nikamkuta ana-shave.(tume-do kabla hajashave). Nikashangaa shangaa pale nikarudi sebuleni. Baada ya mida akiwa ametoka kuoga anavaa nikaibuka tena bedroom nikam-hug nimchumu. Suprise ya mwaka nikafeel shanga!!!! AMENYOA NA AMEVAA SHANGA??? Ambazo hajavaa nusu mwaka sasa, wakati anajua mi zinanipagawishaga. Na eti anaenda kufunga mzigo kariakoo!! Nimwambia tunaenda wote. Kaahirisha kwenda halafu kawa mpole. Hivi hapa tupo wote dukani, najiuliza ndio nini hii?? Nimuulize anamaanisha nini??