Mc Tilly Chizenga
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 4,641
- 3,686
Anaenda kupeleka zawadi ikafunguliwe leo boxing day ndio maana kaipamba na shanga.
kile kitufe cha like sometime huwa kinayeyuka kinaniudhi!pata like ya maneno!....like!
Anaenda kupeleka zawadi ikafunguliwe leo boxing day ndio maana kaipamba na shanga.
Dah pole ndugu! Ndo maana nimesubiri kariakoo sijaona akija! Halafu nilimwambia anyoe kwakua ile juzi alikua na magugu mno! LOL( in a kiding mode)
USHAURI
Mulika mwizi mali yako yaliwa
kuna dalili mke wa jamaa alikuwa na miadi ya kwenda kumegwa na jamaa leo maana hayo maandalizi yanajieleza. pili kama kweli alikuwa anampima mmewe kwa nini awe mpole na aghaili kwenda kariakoo?
hahahahaha!!!! mambo ya boxing day. lol. komaaa nae asitoe mguu huyo.
Hivi mkwe ukikomaa na mtu si anaahirisha tu? Unadhani ataacha? Kujitia stress tu aisee.siku hizi na simu mtu anapokea yuko kwenye kinena cha mwingine, sauti ya chiniii 'niko kikaoni nakupigia in 30mins', anakata kabla haujajibu.
gobore umenichekesha sana!kumbe ulikuwa ushatega gobore lako ulipue mtu!haaa haaaa haaaa(me too in a kiding mode)
Natamani nikwambie ignore for the peace of ur mind ila najua huwezi. Muulize kwanini anahitaji kuvaa shanga kwenda Kariakoo?
anakurusha roho tu huyo....anajua atadraw atenshen yako
Dah pole ndugu! Ndo maana nimesubiri kariakoo sijaona akija! Halafu nilimwambia anyoe kwakua ile juzi alikua na magugu mno! LOL( in a kiding mode)
USHAURI
Mulika mwizi mali yako yaliwa
acha uongo wa kizamani eti ukikanyaga punje za wali ulizomwaga wakati unakula unaota matende,kumbe lengo lao usimwage chakula wakati unakula!usimfariji mwenzio wakati mambo yako wazi!huyo dada angefanya yote hayo halafu akabaki nyumbani ingekuwa poa tu,lakini kataka kutoka tena peke yake,jamaa kalazimisha kutoka nae dada kanuna!halafu useme ni sawa tu?