:violin:haaa..haaa..teeh..teeeh..eeeee King'asti nimecheka kwa hii comment yako!Wala! Kawa mpole kwa sababu hajapewa haki yake. Na si ajabu hakuwa na safari ya kkoo! Mi ukiniona naoga ukaniuliza unafanya nini mke wangu ntakujibu nalima, kama kiutani hivi. Sasa kama alikuwa na miadi na mtu, angeshindwa kuenda na mumewe kkoo na wakanunua few stuff za dukani? Kwani nyie wanaume wa humu, mkishakuwa na ahadi gesti na mtu afu wife akabana si mnabadili route tu?
Tumeaka mornie tukazindua siku (si boxing day leo?). Tulipomaliza nikaenda zangu sitting room, nikarudi ghafla chumbani baada ya nusu saa nikamkuta ana-shave.(tume-do kabla hajashave). Nikashangaa shangaa pale nikarudi sebuleni. Baada ya mida akiwa ametoka kuoga anavaa nikaibuka tena bedroom nikam-hug nimchumu. Suprise ya mwaka nikafeel shanga!!!! AMENYOA NA AMEVAA SHANGA??? Ambazo hajavaa nusu mwaka sasa, wakati anajua mi zinanipagawishaga. Na eti anaenda kufunga mzigo kariakoo!! Nimwambia tunaenda wote. Kaahirisha kwenda halafu kawa mpole. Hivi hapa tupo wote dukani, najiuliza ndio nini hii?? Nimuulize anamaanisha nini??
Kimsingi nimekomaa nae kishenzi acha jamaa lidindishe hukooo mpaka ikatike. Nimebadili ratiba yake kabisa, hivi tumetoka kimara kumcheki mgonjwa.hahahahaha!!!! mambo ya boxing day. lol. komaaa nae asitoe mguu huyo.
Kimsingi nimekomaa nae kishenzi acha jamaa lidindishe hukooo mpaka ikatike. Nimebadili ratiba yake kabisa, hivi tumetoka kimara kumcheki mgonjwa.
we nenda kamfanyie urudi hapa uanze kunisumbua ktk inbox "oh jamani mc nimekuwa mpweke naomba kampani yako" sanasana mi nitakusaidia kwa kukuambia ukanisaidie kubeba spika za mziki kupeleka ukumbini ili uwe bizebize kidogo!
Kimsingi nimekomaa nae kishenzi acha jamaa lidindishe hukooo mpaka ikatike. Nimebadili ratiba yake kabisa, hivi tumetoka kimara kumcheki mgonjwa.
Kabla ya kukupa ushauri, naomba nikuulize, Je ni mara yake ya kwanza kufanya attempt kama hizo? yani kuomba safar za ghafla zisizo na kichwa wala miguu! Na unapomzuia safari zake huwa katika hali gani? Baada ya hapo naweza kukupa jibu la wazi kabisa. Pole sana Mkuu.
hehehe!!! mme nae hata kama alikuwa na kidate chake nae kakihairisha.
ngoja nikamrushe mtu roho sasa.
Ah! Kaniharibia kishenzi, ilikuwa twende na mshikaji sehemu kumalizia Xmas lakini imebidi nichunge mzigo walau kwa leo. Kama kuliwa akaliwe siku nyingine bana!!!
mkuu inamaana mamsapu wako anajinyoa ma..zi mwenyewe hlf wewe umekaa sebuleni tu?
kuwa mvumilivu na fuatilia kwa karibu ,ila hizo ni dalili za manyoya kwakweli
Huyo mshikaji ni wa kike au wa kiume?
Nilikuwa namnyoa long time kitambo, after 10 years of marriage nikaona sio ishu sana nikaacha, manake nilikuwa kila nikmnyoa naishia kula mzigo. Namnyoa mara moja moja siku hizi.
Actually kama alikuwa ananitest basi majibu niliyopata jf Leo yamemponza. Ntakamua leo mpaka mmoja wetu afaint!!!!
Tumeaka mornie tukazindua siku (si boxing day leo?). Tulipomaliza nikaenda zangu sitting room, nikarudi ghafla chumbani baada ya nusu saa nikamkuta ana-shave.(tume-do kabla hajashave). Nikashangaa shangaa pale nikarudi sebuleni. Baada ya mida akiwa ametoka kuoga anavaa nikaibuka tena bedroom nikam-hug nimchumu. Suprise ya mwaka nikafeel shanga!!!! AMENYOA NA AMEVAA SHANGA??? Ambazo hajavaa nusu mwaka sasa, wakati anajua mi zinanipagawishaga. Na eti anaenda kufunga mzigo kariakoo!! Nimwambia tunaenda wote. Kaahirisha kwenda halafu kawa mpole. Hivi hapa tupo wote dukani, najiuliza ndio nini hii?? Nimuulize anamaanisha nini??
Ah! Kaniharibia kishenzi, ilikuwa twende na mshikaji sehemu kumalizia Xmas lakini imebidi nichunge mzigo walau kwa leo. Kama kuliwa akaliwe siku nyingine bana!!!