Tumeaka mornie
tukazindua siku (si boxing day leo?). Tulipomaliza nikaenda zangu
sitting room, nikarudi ghafla chumbani baada ya nusu saa nikamkuta
ana-shave.(tume-do kabla hajashave). Nikashangaa shangaa pale nikarudi
sebuleni. Baada ya mida akiwa ametoka kuoga anavaa nikaibuka tena
bedroom nikam-hug nimchumu. Suprise ya mwaka nikafeel shanga!!!! AMENYOA
NA AMEVAA SHANGA??? Ambazo hajavaa nusu mwaka sasa, wakati anajua mi
zinanipagawishaga. Na eti anaenda kufunga mzigo kariakoo!! Nimwambia
tunaenda wote. Kaahirisha kwenda halafu kawa mpole. Hivi hapa tupo wote
dukani, najiuliza ndio nini hii?? Nimuulize anamaanisha nini??
Hivi ratiba ya EPL leo ikoje naraka nikamnyoe mtu leo sehem sehem.......
hahahahaaa mapenzi sio vita........tehteh uzi wako unanikosha
Nilikuwa namnyoa long time kitambo, after 10 years of marriage nikaona sio ishu sana nikaacha, manake nilikuwa kila nikmnyoa naishia kula mzigo. Namnyoa mara moja moja siku hizi.
aise wala usimuulize chochote ila fatilia kwa karibu nyendo zake..ukitaka kumshika mwizi usiwe na haraka..mi nilifanya utafiti km miezi 4 ndio nikajua ukweli na mwenyewe alikiri..nilimpa details ambazo hakutegemea na hakuamini..
we mwache tu ajivinjari, za mwizi arobaini mbna utamshika tuu, usiwe na haraka..wala usimuonyeshe tofauti kwa sasa endelea kuchunguza..
kamusi! Hapo hapana hapaitaji subra,yaani amwache waendelee kumgegeda na uchunguzi ufuatwe? Tatizo magonjwa mkuu,hapo nikuchukua hatua maramoja!
Kwa uzoefu wangu huyo jamaa wa Kariakoo atakua anamnyonya mkeo mashinesta mara kwa mara. Ndio maana mkeo amekuachia mivuzi wewe, then kamsafishia K mwana. Funguka kaka, vijana siku hizi wananyonya sana ile kitu. Na ile kitu huwezi Rambaaaaa kama utakutana na steel wire zile.
Kaka si bure, kaa karibu na simu yake akiisahau kidogo tu soma msg ila asijue. Kagua misssed, in comin and out goin calls. Add dots you gonna get more clues..! Don forget to offer her more freedom ili asijue kama unamfuatiliaTumeaka mornie tukazindua siku (si boxing day leo?). Tulipomaliza nikaenda zangu sitting room, nikarudi ghafla chumbani baada ya nusu saa nikamkuta ana-shave.(tume-do kabla hajashave). Nikashangaa shangaa pale nikarudi sebuleni. Baada ya mida akiwa ametoka kuoga anavaa nikaibuka tena bedroom nikam-hug nimchumu. Suprise ya mwaka nikafeel shanga!!!! AMENYOA NA AMEVAA SHANGA??? Ambazo hajavaa nusu mwaka sasa, wakati anajua mi zinanipagawishaga. Na eti anaenda kufunga mzigo kariakoo!! Nimwambia tunaenda wote. Kaahirisha kwenda halafu kawa mpole. Hivi hapa tupo wote dukani, najiuliza ndio nini hii?? Nimuulize anamaanisha nini??
Mwanamke hachungwi; isitoshe anachoenda kukitumia ana uhuru nacho - mwanaume una share ndogo kwenye hiyo kitu ya mwanamke hivyo hivyo na mwanamke ana share ndogo kwenye mche wa mume wake!
Kama unahisi sio mstaarabu timua tu - kata mti panda mti!
kinachotakiwa ktk ndoa ni uaminifu na kuaminiana aisee! Ila swala la kugegedwa au kugegeda pasipo utarati its not right! Mimi nikigundua tu! Talaka sipo tayari kushere.