Msaada jamani sijamwelewa wife leo!!

Msaada jamani sijamwelewa wife leo!!

ndandawamalenja

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2012
Posts
548
Reaction score
661
Tumeaka mornie tukazindua siku (si boxing day leo?). Tulipomaliza nikaenda zangu sitting room, nikarudi ghafla chumbani baada ya nusu saa nikamkuta ana-shave.(tume-do kabla hajashave). Nikashangaa shangaa pale nikarudi sebuleni. Baada ya mida akiwa ametoka kuoga anavaa nikaibuka tena bedroom nikam-hug nimchumu. Suprise ya mwaka nikafeel shanga!!!! AMENYOA NA AMEVAA SHANGA??? Ambazo hajavaa nusu mwaka sasa, wakati anajua mi zinanipagawishaga. Na eti anaenda kufunga mzigo kariakoo!! Nimwambia tunaenda wote. Kaahirisha kwenda halafu kawa mpole. Hivi hapa tupo wote dukani, najiuliza ndio nini hii?? Nimuulize anamaanisha nini??
 
Ha ha ha haaaaaa
Anatishia nyau huyo, anakupima na wewe ushaingia Kingi
 
Ukion manyoya jua ..... Kuna mtu alimvalia na kumnyolea hiyo kitu ili aikute ipo safi kisha itumike vizuri. Hebu leo kaa nae karibu kama vile polisi analinda jambazi lisimtoroke.

Halafu unaweza kuvunja ratiba ukaenda nyumbani kuendelea kushelekea Boxing Day.
 
bahahha mwana papuchi inamegwa hiyo...ndio ndoa za kileo hizo kaka.
 
aise wala usimuulize chochote ila fatilia kwa karibu nyendo zake..ukitaka kumshika mwizi usiwe na haraka..mi nilifanya utafiti km miezi 4 ndio nikajua ukweli na mwenyewe alikiri..nilimpa details ambazo hakutegemea na hakuamini..

we mwache tu ajivinjari, za mwizi arobaini mbna utamshika tuu, usiwe na haraka..wala usimuonyeshe tofauti kwa sasa endelea kuchunguza..
 
When the going gets tougher, please keep going!..Usiharakishe kuwa na hisia mbaya, just relax and time will tell you!
 
kwanini usingemwacha halafu ukamfuatilia kwa nyuma,wanazunguka mbuyu wenzako mkuu.
 
Msivunje ndoa ya mwenzenu,Huyo mkeo kafundwa huyo hizo ni mbinu tu za kukuweka sawa na Amekupima tu mapenzi yako yako levo gani? c hapo mko wote nyumbani hiyo ndio burudani kwake!
 
Dah pole ndugu! Ndo maana nimesubiri kariakoo sijaona akija! Halafu nilimwambia anyoe kwakua ile juzi alikua na magugu mno! LOL( in a kiding mode)

USHAURI
Mulika mwizi mali yako yaliwa
 
Msivunje ndoa ya mwenzenu,Huyo mkeo kafundwa huyo hizo ni mbinu tu za kukuweka sawa na Amekupima tu mapenzi yako yako levo gani? c hapo mko wote nyumbani hiyo ndio burudani kwake!

Si ndio amuulize ili apate her side of her story.
 
ilikuwa inaenda kutumika hiyo stuka......sa na wewe nae! unapigaje kwenye magugu huwashi?kwa maana mengine magumu af makavu waweza toka michubuko

Aliacha magugu ili mumewe amsaidie kuyafyeka, yeye kwa kiherehere chake akaingia haraka2! LOL
 
Msivunje ndoa ya mwenzenu,Huyo mkeo kafundwa huyo hizo ni mbinu tu za kukuweka sawa na Amekupima tu mapenzi yako yako levo gani? c hapo mko wote nyumbani hiyo ndio burudani kwake!

acha uongo wa kizamani eti ukikanyaga punje za wali ulizomwaga wakati unakula unaota matende,kumbe lengo lao usimwage chakula wakati unakula!usimfariji mwenzio wakati mambo yako wazi!huyo dada angefanya yote hayo halafu akabaki nyumbani ingekuwa poa tu,lakini kataka kutoka tena peke yake,jamaa kalazimisha kutoka nae dada kanuna!halafu useme ni sawa tu?
 
Back
Top Bottom