Mkuu pole, "anayekufa hapigi kelele amakufa,mkuu"
anyway, ninashindwa kujua MWILI WOTE UNAUMAJE!!
Unaamaanisha uchovu? Kujisikia vibaya? Homa au?
-Inawezekana ilikuwa ngumu kujua tatizo("ugonjwa") wako ni nini kwa kuwa magonjwa(huanza dalili fulani kisha nyingine, na nyingine na nyingine,..SI RAHISI kwa kusema tu mwili wote unauma kutamvua/kujua kwa urahisi)
-Una miaka mingapi, jinsia?
-Tatizo lako lina muda gani sasa?..Una jishughulisha na nini?
- Ni vipimo gani ulifanya? Wapi, mara ngapi?
Kujibu swali lako, karibu kila kipimo kina madhara..lakini ni ngumu kupata madhara madhara kwa wakati huo huo(immediate)...MUHIMU ni kupima na kujua afya yako.