Msaada jamani hiki ni nini?

kindude

Member
Joined
Dec 12, 2023
Posts
64
Reaction score
155
Poleni na majukumu jamani, nisiwachoshe naombeni, naishi kwenye nyumba ambayo nilinunua miaka mitatu iliyopita, Sasa leo katika kufanya usafi na jembe niliona kama ndala pembeni ya ngazi za mlango

Katika kuchimba niitoe ile ndala nikaona kitu kimefungwa na kitambaa cheusi, ndani kukawa na kalatasi la nylon, ndani ya karatasi la nyloni kukawa na karatasi nyingine ya kaki yenye maandishi kama yanavosomeka hapo

Naombeni msaada najua humu hatufanani kuna watu wenye ufahamu zaidi hasa kunipa tafsiri ya maandishi ya kiarabu hapo, tafadhari nipo kwenye wakati mgumu mno, Kaka mshana popote ulipo, natanguliza shukrani.

 
Ndo maana sipendi kununua nyumba ya mtu, aidha nijenge mm au ninunue ivunjwe nianze upya. Kuna mda unakaa nyumba ambayo tyr ina contract na majini
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…