Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,469
- 17,580
Ni wakina nani ?Jipange zinakuja kweli
Ni wakina nani ?Jipange zinakuja kweli
Ni wakina nani ?
Duh balaa hiliMagereza
Mwamba hili swali lako lina utata sana na unaliuliza mara kwa mara. Anyway kuna tetesi magereza watatoa ajira mpya kwa vijana hivi karibuni. Sifa na vigezo tusubiri siku ikifika tangazo litajieleza wazi.Ni wakina nani ?
Nakubali mkuuJipange zinakuja kweli
Ahaa sawa sorry mkuu ulivyosema wanakuja sikujua mkuu ni nani haswaMwamba hili swali lako lina utata sana na unaliuliza mara kwa mara. Anyway kuna tetesi magereza watatoa ajira mpya kwa vijana hivi karibuni. Sifa na vigezo tusubiri siku ikifika tangazo litajieleza wazi.
Kigezo kikubwa ni jkt lkn inafikia kipindi watu wa fani maalumu kama hizo wanachukuliwaga pasipo na cheti cha jkt kingine pia bongo michongo mitupu mambo mengi yanafanyika bila hata vigezoHabari zenu jamani,mie nina dogo kamaliza form 4 mwaka jana na sasaivi anasomea kozi ya ufundi dar ,je izo nafasi mnazosemea za ajira kwenye majeshi sifa yao ni uwe umepitia jkt miaka miwili sio ama
Kigezo mama kabisa ni jktHabari zenu jamani,mie nina dogo kamaliza form 4 mwaka jana na sasaivi anasomea kozi ya ufundi dar ,je izo nafasi mnazosemea za ajira kwenye majeshi sifa yao ni uwe umepitia jkt miaka miwili sio ama
Kigezo mama kabisa ni jkt
Basi ndio hao wenye mbanga maana kigezo kikuu walisema jkt kwa hawa wanaomaliza courseMmh mbona kuna wengine wamepiga kozi hii inayoisha na hawana jkt.
Au labda walikuwa na fani maalumuBasi ndio hao wenye mbanga maana kigezo kikuu walisema jkt kwa hawa wanaomaliza course
Duh kama kawaida yao form six na degree tupa kulee
Si unatumia cheti cha form iv ila mchawi ageDuh kama kawaida yao form six na degree tupa kulee
Of courseSi unatumia cheti cha form iv ila mchawi age
Unajikuta umevuka mwka mmojaSi unatumia cheti cha form iv ila mchawi age
Ujuzi wanaoutaka ni wa udereva wa trekta …ila jaribu bahati yakoBado miezi miwili niwe disqualified mwezi wa nane nagota 26 nipeni mawazo niembee kwa cheti tu cha form four bila ujuzi au form four na ujuzi mana nina ujuzi wa digital marketing and online business na cheti ninacho naombeni ushauri