Msaada: Huyu ni tapeli au sio wakuu?

Kuna mtu nimekutana nae kwenye Linkedin na kujinasibu kuwa yupo Israel. Anafanya kazi kwenye kampuni ambayo huwa inafanya investment na kuprovide fund for investment.

Sasa alikuwa anataka kuja ku invest Tanzania. Akaomba ushauri maeneo amabayo anaweza kuwekeza. Nikampa ushauri na amependa kuwekeza kwenye Tanzanite.

Sasa anataka kutengeneza mkataba wangu na wake ili alirelease fund kwani nilimwambia inabidi kwanza tufungue kampuni na kufungua kampuni kuna gharama kidogo.

Sasa kinachonipa wasiwasi ni kwanini anasema anataka kurelease fund so fast. Hajaniomba account namba yangu wala hela. Info anayohitaji ndio hiyo hapo chini.

Naombeni msaada wakuu kuna info yoyote hapo inaweza msaidia kunipiga hela? Maana naogopa sana technology.

View attachment 1329888

Sent using Jamii Forums mobile app

wache atume tu.
hamna shida.
Tatizo litajitokeza pale atakapo kuambia atalipa kwa credit Cards, na sehemu ya pesa zitakazotumwa umtumishie kwa westen union, hapo ndo utakudua ukweli wake.
 
Mpaka inaoneka tamaa iko mbele kuliko akili...umepewa ushauri ila bado una maamuzi yako kichwani ambayo tayari ushatahadharishwa.
Wakuu ndio maana nimekuja kupata ushauri hapa. Je hizo info hapo anazozitaka zinatosha kumuibia mtu? Je akitaka account alafu nikimwambia nifungue separate account ambayo mimi nikuwa siitumii nitakuwa nimekisea? Hayo tu wakuu

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpaka inaoneka tamaa iko mbele kuliko akili...umepewa ushauri ila bado una maamuzi yako kichwani ambayo tayari ushatahadharishwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa hajaamini kabisa ni tapeli. Anaona kama watu wanaompa ushauri wanamzingua tu. Watu kama hawa ndiyo huwa wanalizwa. Nadhani alishafanya mahesabu kabisa akajiona yeye ni CO wa kampuni kubwa huku akikokota mdude wa nguvu kama Range Rover. Huyu nakuambia atapigwa huyu. Watu wa aina hii wanaweza kupigwa mara ya kwanza halafu wakidanganywa kuna hitilafu imetokea watume tena fedha na wakatuma. Akili yake imeshashikwa mateka na anaona fursa imejileta.
 
Muache tu sikio la kufa.
Jamaa hajaamini kabisa ni tapeli. Anaona kama watu wanaompa ushauri wanamzingua tu. Watu kama hawa ndiyo huwa wanalizwa. Nadhani alishafanya mahesabu kabisa akajiona yeye ni CO wa kampuni kubwa huku akikokota mdude wa nguvu kama Range Rover. Huyu nakuambia atapigwa huyu. Watu wa aina hii wanaweza kupigwa mara ya kwanza halafu wakidanganywa kuna hitilafu imetokea watume tena fedha na wakatuma. Akili yake imeshashikwa mateka na anaona fursa imejileta.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi nakumbuka hii ilinitokea sijui ni uyu uyu alidai na yeye mzee wake amefariki kamuachia madolari ya kutosha..it was 2013
Mwaka 2013 pia ilinitokea, alikua anaitwa Lang Tombong Tamba akajifanya baba yake kapewa kesi ya uhaini.
Niliingia gharama kubwa ya international calls mwisho wa siku nikagundua kuwa ni tapeli baada ya kugoogle hilo jina.
 
kwa mara ya kwanza nakutana na binti mmoja ilikuwa ni mwaka 2010 anapesa nyingi anataka kutuma kwangu afu naye aje tz tuishi wote
sasa ikawa kufanya sijui nini inabidi ilipiwe kama mil 1 na laki saba
basi nikamwambia hao wanasheria wake na huyo fanther wake wa kambi ya wakimbizi wachange afu tutawalipa mara mbili mpunga wako ukitoka
naona hadi leo wanachangisha😂😂😂😂😂😂
 
Swali langu kubwa ni je information apo mabayo inaweza ikawa mbaya kwa upande wangu? Najua siwezi toa acc no, pesa wala info yoyote ya jwangu kuhusu pesa. Nikitoa info alizozitaka hapo juu kuna ubaya? Nataka nijue hapo kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilinikuta nikiwa Chuo Mlimani mwaka wa kwanza. Binti mzuri anadai ni mtoto wa marehemu John Garang. Mshua wake kamuachia midolali anatafuta mtu kutoka nchi yenye amani ahamishie hizo pesa. Alikuwa kaahidi parcent kwenye mgao. Nilichanganyikiwa baada ya kupiga hesabu ya mgao. Nikajisemea dili likitiki naacha chuo.

Sent using Jamii Forums mobile app
hahahahahah
 
Kuna mtu nimekutana nae kwenye Linkedin na kujinasibu kuwa yupo Israel. Anafanya kazi kwenye kampuni ambayo huwa inafanya investment na kuprovide fund for investment.

Sasa alikuwa anataka kuja ku invest Tanzania. Akaomba ushauri maeneo amabayo anaweza kuwekeza. Nikampa ushauri na amependa kuwekeza kwenye Tanzanite.

Sasa anataka kutengeneza mkataba wangu na wake ili alirelease fund kwani nilimwambia inabidi kwanza tufungue kampuni na kufungua kampuni kuna gharama kidogo.

Sasa kinachonipa wasiwasi ni kwanini anasema anataka kurelease fund so fast. Hajaniomba account namba yangu wala hela. Info anayohitaji ndio hiyo hapo chini.

Naombeni msaada wakuu kuna info yoyote hapo inaweza msaidia kunipiga hela? Maana naogopa sana technology.

View attachment 1329888

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo utasign mkataba usioujua mzee kuwa care

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mtu nimekutana nae kwenye Linkedin na kujinasibu kuwa yupo Israel. Anafanya kazi kwenye kampuni ambayo huwa inafanya investment na kuprovide fund for investment.

Sasa alikuwa anataka kuja ku invest Tanzania. Akaomba ushauri maeneo amabayo anaweza kuwekeza. Nikampa ushauri na amependa kuwekeza kwenye Tanzanite.

Sasa anataka kutengeneza mkataba wangu na wake ili alirelease fund kwani nilimwambia inabidi kwanza tufungue kampuni na kufungua kampuni kuna gharama kidogo.

Sasa kinachonipa wasiwasi ni kwanini anasema anataka kurelease fund so fast. Hajaniomba account namba yangu wala hela. Info anayohitaji ndio hiyo hapo chini.

Naombeni msaada wakuu kuna info yoyote hapo inaweza msaidia kunipiga hela? Maana naogopa sana technology.

View attachment 1329888

Sent using Jamii Forums mobile app
Huu mchezo alinifanyia mdada mmoja ansema yupo london, alinipiga biti nikaiva kweli kweli na nnavojiaminigi kuwa siezi kutapeliwa, basi ningejikuta nauza nyumba kwa millioni 100, kilichonsaidia niliomba watu ushauri basi nd akili ikashtuka hapo ila nlikuwa bata bamdani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom