nzoka boy
JF-Expert Member
- Oct 14, 2017
- 1,165
- 1,038
mhhhhWapigie hii namba 0765678538
Huduma nzuri na nibora kwa afya yako
mhhhhWapigie hii namba 0765678538
Huduma nzuri na nibora kwa afya yako
Kuna dokta mmoja anaweza kukusaidia ndani ya mwezi unapata ujauzito. Amesaidia wengi sana na hata wale wenye matatizo ya kutopata hedhi.Nahitaji kufanyiwa Intrauterine insemination (IUI), maana tumejaribu kawaida inashindikana, napata wapi hiyo huduma hapa Tanzania na itagharimu kiasi gani, wajuzi mje kunisaidia.
...I believe mleta uzi yuko seriuos stop the stupid jokes...Ukitaka kupata mimba kirahisi hamia karibu na kambi ya jeshi au kambi ya FFU. Wale jamaa wanajitahidi.
Kuna Dada mmoja alikuwaga hapati mimba alipohamia karibu na kambi ya FFU..mapema tu!
No, nahitaji IUI mkuu kwasasaKuna dokta mmoja anaweza kukusaidia ndani ya mwezi unapata ujauzito. Amesaidia wengi sana na hata wale wenye matatizo ya kutopata hedhi.
Ukiona inapendeza nicheck PM nikuunganishe nae mkutane akusaidie. Ni tiba za hospital.
Wana IUI pia au ni IVF tu? Maana IVF ni gharama sananenda clinic inayoitwa dar ivf ni wazuri wapo mikocheni
Poa mkuuNo, nahitaji IUI mkuu kwasasa
Nashukuru sana mkuu nimepitia Website yao, wanatoa huduma ya IUI pia, thanks alot.nenda clinic inayoitwa dar ivf ni wazuri wapo mikocheni
Nimewasiliana nao wanafanyanahisi hilo lako ni dogo zaidi kuliko la ivf nahisi watakuwa wanafanya, so google ivf dar utapta detail zao
ShukraniKm upo dar nenda maeneo ya mikocheni mitaa ya kwa mwalimu kuna kituo kinaitwa IVF km sijakosea
No, nahitaji IUI mkuu kwasasa
Nimewasiliana nao wanafanya
Nitafute nikupe uzoefu.tulipata mtoto hapoNashukuru sana mkuu nimepitia Website yao, wanatoa huduma ya IUI pia, thanks alot.
Nime ku pmNitafute nikupe uzoefu.tulipata mtoto hapo
Ila usiende kichwa kichwa utapoteza hela na mtoto usipate